Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,546
- 855
Tayari Rais Kikwete kaingia uwanjani. Mshereheshaji hajaeleza bado kilichosibu hadi viogozi hawa wakuu wa juu kuamua kuendelea na hii shughuli bila ya Mwenzao wa Zanzibar kuwepo.
Wabara je si Wavivu? Kwani kinachokuhamisheni vijijini na kujijaza mijini nini?
Huo uhodari wenu wa Kilimo mpaka sasa haujakutoweni katika kufa kwa njaa. Mko ndani ya Basi moja na Zanzibar angalau wao wana sababu kuwa hawapewi uhuru wa kufanya kazi zinazostahiki. Hivyo dhana yako kuwa maendeleo ya nchi zote yataletwa kwa kilimo? Hata hivyo kuna wakati Zanzibar iliwasaidia majirani wake kwa Fedha iliyotokana na Kilimo na sio kitu chengine.
sasa ole wake mtu 2010 mtu aje alete pua yake huku, kupiga kura.........CCM, tapikwa supu anywewe....ya popo bawa yatakuwa madogo.
Wabara je si Wavivu? Kwani kinachokuhamisheni vijijini na kujijaza mijini nini?
Huo uhodari wenu wa Kilimo mpaka sasa haujakutoweni katika kufa kwa njaa. Mko ndani ya Basi moja na Zanzibar angalau wao wana sababu kuwa hawapewi uhuru wa kufanya kazi zinazostahiki. Hivyo dhana yako kuwa maendeleo ya nchi zote yataletwa kwa kilimo? Hata hivyo kuna wakati Zanzibar iliwasaidia majirani wake kwa Fedha iliyotokana na Kilimo na sio kitu chengine.