Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunaomba ukumbushe jamvini. Ni maoni gani hayo unayoyaita wewe kuwa yana hekima- kuhusiana na mada hii ya Muungano na mustakbala wa Zanzibar na Wazanzibari wake.Haya filimbi imeshapulizwa lets the game start.
Wale waliodharau maoni ya wenye hekima ndo wataona upumbavu wao sasa.
Nadhani ukisoma hii habari Khatibu hakusema hakuna smz (I will stand to be corrected). Nakumbuka moja ya hotuba za JKN (RIP) aliwahi kusahihisha kuwa hakuna serikali ya mapinduzi Zanzibar (alikufa mwaka 1964), na kuongeza kuwa mkuu wa visiwani anaitwa "Rais wa Zanzibar, na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi". Wakati huu wa vyama vingi ni muhimu kuelewa hili. Hivyo, basi Serikali ya Zanzibar ipo.
Mohamed Seif Khatibu said:"If we may ask a simple question: Which countries constitute the union? The answer is Tanganyika and Zanzibar" she said, adding: "After all there is nowhere in the union articles to indicate that the Tanganyika government was dissolved."
Babylon: Nimekuelewa, lakini kunatofauti kati ya Serikali ya Zanzibar na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na ndiyo msingi wa hoja yangu.
Nyinyi watu hasa mna mazonge. Kwa nini mnakuwa vichwa ngumu kuelewa- nashangaa. Serikali ya Tanganyika haikufa . Ipo kama ilivyokuwa ipo Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. Katika Muungano wetu tumetumia busara ku-incorporate Serikali ya Tanganyika katika Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na kuiacha Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ibakie pekee kuendesha mambo ya Zanzibar( yasiyo ya Muungano). Serikali (ndogo) hizi za Tanganyika (Incorporated) na Zanzibar (self operating) ni surbodinate kwa Serikali Kuu (supreme) ambayo ndiyo yenye kubeba mamlaka (sovereignity) ya Dola ya Tanzania. Hivi hapa ni kipi kigumu cha kueleweka?Hapa sijamuelewa vizuri, inamaana anataka Serikali TATU?? Naombeni ufafanuzi wana JF.
Nyinyi watu hasa mna mazonge. Kwa nini mnakuwa vichwa ngumu kuelewa- nashangaa. Serikali ya Tanganyika haikufa . Ipo kama ilivyokuwa ipo Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. Katika Muungano wetu tumetumia busara ku-incorporate Serikali ya Tanganyika katika Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na kuiacha Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ibakie pekee kuendesha mambo ya Zanzibar( yasiyo ya Muungano). Serikali (ndogo) hizi za Tanganyika (Incorporated) na Zanzibar (self operating) ni surbodinate kwa Serikali Kuu (supreme) ambayo ndiyo yenye kubeba mamlaka (sovereignity) ya Dola ya Tanzania. Hivi hapa ni kipi kigumu cha kueleweka?
Junius acha kumuonea huyo.Amewasiliti kivipi? Tena unasema hata wananchi wa jimbo lake kule Uzini? Kwani wewe ni mkaazi wa Uzini, Bambi, Mwakaje, Kiboje, Ghana, au Ndagaa? kwanini uwasemee wananchi wa huko -Kwa authority ipi? Acha hizo Ndugu yangu!!!!!Msakatonge kasahau kuwa urais hautafutwi hivyo kwa kuwasaliti wananchi wa jimbo lake na wananchi wa zanzibar.stupid.
Simuonei Pakacha ananichefua, kwa nafasi aliyonayo hapaswi kudharau maoni ya wazanzibar kupitia wabunge wao,ambao wamesema wazi kuwa kero za muungano zitatuliwe kwa kurejea katika mkataba uliounda muungano wenyewe, na kuwa PM na CM hawana mamlaka ya kujadili kero hizo. Alipaswa kama si kukubali,japo ku consider mawazo hayo badala ya kupwaga na kucheuka pumba na shutuma zisizo kichwa wala miguu, huko ni kuwasaliti wananchi woote wa zanzibar ambao msimamo wa wabunge wao ulikuwa wazi kihoja. Kawafanya wananchi wa Uzini si sehemu ya kero za Muungano kwa kukataa mawazo ya wabunge wenzake. Pakacha, Mkataa wengi mchawi.Junius acha kumuonea huyo.Amewasiliti kivipi? Tena unasema hata wananchi wa jimbo lake kule Uzini? Kwani wewe ni mkaazi wa Uzini, Bambi, Mwakaje, Kiboje, Ghana, au Ndagaa? kwanini uwasemee wananchi wa huko -Kwa authority ipi? Acha hizo Ndugu yangu!!!!!