Ndivyo Ilivyo
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 243
- 4
mtu wa pwani
yalosemwa waloongea yanatosha,muda wa actions umefika no matter wat.
sometime ili uhuru upatikane lazima wengine wakubali familia zao zikae VIZUKA n.k.
warejee ktk maongezi gani tena jamani?
acha ajenda irejeswhe kwa wananchi waamue wanavyotaka.
na kama CUF watashindwa kuamua hilo,basi wafanye yafuatayo:
-CHAMA KIVUNJWE,seif aendelee kupata mafao yake ya smz.
-abubakar na wenzake waendelee kunenepeana kula per diem za smz ktk baraza la wawakilishi.
-ile ofisi yao ya mtendeni,wawakodishe kikundi cha TAARAB CHA NADI IKHWAN SWAFAA wafanyie mazoezi jioni.
-juma duni na wenzake warudi IFM wakoembe kuwa lecturers.
KHALAS.
Sadakta. Yarabi Mwenyezi Mungu ateremshe rehma zake. Tuanzie na familia ya kwako Mheshimiwa kuiwekea vizuka. Amin.