Kuhani
JF-Expert Member
- Apr 2, 2008
- 2,944
- 64
Akimtambua kuwa Rais, yale mazungumzo yote hayana maana kwa sababu msingi wake ulikuwa ni kusawazisha uwanja wa mapambano katika uchaguzi. Sasa na wewe inabidi tukuulize, kama Seif atamtambua Karume kuwa Rais, kwa nini wafanya mazungumzo ya mwafaka?
Bila ya kuleta Siasa za Marekani kwenye ukumbi huu, nillitaka kusema kiufupi tu kwamba ulicho kisema hapo ni doctrine moja ya Obama: anaiambia Marekani ukiweka masharti kwenye majadiliano sasa tunakuja kujadiliana nini?
Binti Maria nadhani hiyo pointi yako ya nguvu. Ina make sense, sio kwa sababu tu Obama nae kasema.