Muungano ukivunjika waTanganyika watauana mpaka kila mmoja arudi mkoani kwake na ukabila utafumka ,unajua Zanzibar hakuna ukabila kwa maana ya ukabila isipokuwa kuna lahaja tu nazo zinaeleweka ikiwa utatega sikio makini lakini huku upande wa pili kuna makabila kibao na vita vya chini kwa chini vipo yupo mtu anaweibisha kuhusu vita vya makabila japo vinapakwa rangi ya wakulima na wafugaji lakini ukweli ni vita haswa.
Yaani Watanganyika washukuru sana huu Muungano ndio ukasikia lazima waulinde siju wataulinda mpaka lini maana ni kama Active volcano one day yes itafumka tu.
Wacha jazba mwana wa kwetu, si unajuwa ule msemo wa kwetu bundi................!