Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kero zake: Je, tuuvunje?
Zanzibar ni eneo halali la Tanganyika kama Mafia, we can never let our land go
Those people are parasites, there is nothing wrong with getting rid of a parasite! Free them, ili tuanze kupokea malipo yetu halali ya umeme toka Rufiji, kwa sasa wanatumia bure tu!
 
watanzagiza wengi hawajui how poor and backward tanzagiza is, zanzibar inajulikana huko nje klk tanzagiza, ukisema zanzibar kila mtu anajua lkn ukisema tanzagiza watu hawaijui.

bottom line, zanzibar haihitaji bara kiuchumi utalii pekee yake wanaishi, usisahahu zanzibar ina watu milioni moja tu, kuna ndege zinakuja tz sababu zinatua zanzibar…
Kunywa ukwaju ukalale
 
Ukweli ndio huo
Watanganyika hua mnafuata nini zanzibar?
Mbona sioni sababu ya msingi ya ninyi kwenda huko na sioni mnalofuata huko,
Bakini kwenu mjenge kwenu wale wakija wakaribisheni, wala msiwabague namuwafahamu wale ni watu wabinafsi na wabaguzi sana na wenye choyo.
Huo ujinga!! Yaani mimi nije kwako unibague ila wewe ukija kwangu nikupende!! Huruma ya mshumaa hiyo!!
 
Weak and foolish idea

umeshawahi kufika zanzibar?kajionee mwenyewe kuna wabara wangapi wanafanya kazi kwenye tourism industry, zanzibar hata inasaidia tanzagiza kujulikana nje wengi hamlijui hilo labda …
 

Ulaya, US na western world kwa ujumla kuna watu wanajua kuhusu tanzagiza siku wakipata viza ya kuja zanzibar ndiyo wanaona united republic of tanzagiza kwenye Viza for the first time, ndiyo wanajua kwamba zanzabar siyo nchi …
 
watanzagiza wengi hawajui how poor and backward tanzagiza is, zanzibar inajulikana huko nje klk tanzagiza, ukisema zanzibar kila mtu anajua lkn ukisema tanzagiza watu hawaijui.

bottom line, zanzibar haihitaji bara kiuchumi utalii pekee yake wanaishi, usisahahu zanzibar ina watu milioni moja tu, kuna ndege zinakuja tz sababu zinatua zanzibar…
Tanzania is famous than Zanzibar, na sisi ni Tanzania ukizungumzi Tanzania ni Bara hata muungano ukivunjika bado sisi ni Tanzania unataka tufahamikaje.
 
Tanzania is famous than Zanzibar, na sisi ni Tanzania ukizungumzi Tanzania ni Bara hata muungano ukivunjika bado sisi ni Tanzania unataka tufahamikaje.

ulishawahi kufika zanzibar labda na kutembelea sehemu za utalii?
 
Hivi nyie watu humu haya niliyoandika ni upuuzi ama nini? Watanzania tumezoea mpaka kitu kitendeke ndiyo tuanze kulalamika. Haya mambo yataingizwa kwenye katiba ya muungano. Hivi ni kweli watu humu ndani mnayaunga mkono au hamna la kusema. Najua Mkandara unayaunga mkono how about the rest?
mimi sihitaji hata kuona mkataba, ninachohitaji kusikia kimetokea siku moja ni muungano byebye. itakuwa sherehe kwa watanganyika hakika. hawa jamaa ni mzigo na wanatubagua.
 
watanganyika wengi wameajiriwa hasa kweny mahoteli na wengin wanajishughulisha shughuli za ujasiriamali
sa wee endelee kuwajaza ujinga wenzio
 
Kuna watanganyika wapo zanzibar wanafanya kazi mahotelini,wanamiliki na wengine wameaniriwa kwenye maduka ya kuuza chakula hasa nafaka, kuna wanaolima na kuuza mbogamboga, kuna washoni wa nguo, kuna wanaorandisha matoroli yenye matunda na mahindi ya kuchoma, kuna wanaomiliki na wengine wameajiriwa kwenye maduka ya vinyago na viatu, kuna wamasai wanaolinda majumbani na sehemu tofauti tofauti, kuna wasichana wanaofanya kazi za ndani ya majumba, machangu wanaojiuza, kuna vibaka na wakabaji, n.k,n.k halafu wewe unauliza wanafuata nini? Upo serious kweli!!!? Mbona watanganyika wapo miaka mingi tu huku wengine mpk wameoana na kutengeneza familia. Huo ubaguzi umeanza jana na leo? Acheni majungu yaso na tija
 
jaribu tu kutembelea Zanzibar hata siku moja labda utaelewa ninachomaanisha, Zanzibar inaipaisha tanzagiza sana tu hata kama wengi hamtaki kukubali …
Tanzagiza ni nini wewe mbona kama una mindset ya kitumwa kutopenda chako.
 
Kama hujui kitu kaa utulie usubiri kudukuliwa mtaro maana ndio kazi wazanzibari mnaweza
 
Back
Top Bottom