Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
kanya boya tuh nduguKivipi?
Mbona wao ndio wanatawala?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kanya boya tuh nduguKivipi?
Mbona wao ndio wanatawala?
Those people are parasites, there is nothing wrong with getting rid of a parasite! Free them, ili tuanze kupokea malipo yetu halali ya umeme toka Rufiji, kwa sasa wanatumia bure tu!Zanzibar ni eneo halali la Tanganyika kama Mafia, we can never let our land go
Kunywa ukwaju ukalalewatanzagiza wengi hawajui how poor and backward tanzagiza is, zanzibar inajulikana huko nje klk tanzagiza, ukisema zanzibar kila mtu anajua lkn ukisema tanzagiza watu hawaijui.
bottom line, zanzibar haihitaji bara kiuchumi utalii pekee yake wanaishi, usisahahu zanzibar ina watu milioni moja tu, kuna ndege zinakuja tz sababu zinatua zanzibar…
Nje ipi?huko nje klk tanzagiza, ukisema zanzibar kila mtu anajua lkn ukisema tanzagiza watu hawaijui.
Huo ujinga!! Yaani mimi nije kwako unibague ila wewe ukija kwangu nikupende!! Huruma ya mshumaa hiyo!!Ukweli ndio huo
Watanganyika hua mnafuata nini zanzibar?
Mbona sioni sababu ya msingi ya ninyi kwenda huko na sioni mnalofuata huko,
Bakini kwenu mjenge kwenu wale wakija wakaribisheni, wala msiwabague namuwafahamu wale ni watu wabinafsi na wabaguzi sana na wenye choyo.
Weak and foolish idea
Nje ipi?
Tanzania is famous than Zanzibar, na sisi ni Tanzania ukizungumzi Tanzania ni Bara hata muungano ukivunjika bado sisi ni Tanzania unataka tufahamikaje.watanzagiza wengi hawajui how poor and backward tanzagiza is, zanzibar inajulikana huko nje klk tanzagiza, ukisema zanzibar kila mtu anajua lkn ukisema tanzagiza watu hawaijui.
bottom line, zanzibar haihitaji bara kiuchumi utalii pekee yake wanaishi, usisahahu zanzibar ina watu milioni moja tu, kuna ndege zinakuja tz sababu zinatua zanzibar…
Tanzania is famous than Zanzibar, na sisi ni Tanzania ukizungumzi Tanzania ni Bara hata muungano ukivunjika bado sisi ni Tanzania unataka tufahamikaje.
Umepigaje hapotanzagiza
Tara hizo sehemu za utaliiulishawahi kufika zanzibar labda na kutembelea sehemu za utalii?
mimi sihitaji hata kuona mkataba, ninachohitaji kusikia kimetokea siku moja ni muungano byebye. itakuwa sherehe kwa watanganyika hakika. hawa jamaa ni mzigo na wanatubagua.Hivi nyie watu humu haya niliyoandika ni upuuzi ama nini? Watanzania tumezoea mpaka kitu kitendeke ndiyo tuanze kulalamika. Haya mambo yataingizwa kwenye katiba ya muungano. Hivi ni kweli watu humu ndani mnayaunga mkono au hamna la kusema. Najua Mkandara unayaunga mkono how about the rest?
Tara hizo sehemu za utalii
Tanzagiza ni nini wewe mbona kama una mindset ya kitumwa kutopenda chako.jaribu tu kutembelea Zanzibar hata siku moja labda utaelewa ninachomaanisha, Zanzibar inaipaisha tanzagiza sana tu hata kama wengi hamtaki kukubali …
Punguza spidi maryjKupanda boti na utalik
Nakupenda beach unaiona inafanana na Coco beach?