Jagermaster
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 654
- 317
Nonda,
Nashukuru kwa maoni yako, i have watched all 19 series pamoja na documentary ya Aljazeera nimekuelewa sana bwana Nonda. Tatizo ni kwamba, hawa jamaa wamagharibi wana Intertwined ambitions, ukingalia hizo series zinaonyesha uvamizi wa Iraq, Afghan n.k ulikuwa wa Kibiashara zaidi, pia wanaonyesha how America walivyotumia False Flag kubomoa WTC ili kuanzisha vita nchini Iraq.
Lakini pia tambua kuwa ni kiasi gani America inasurpport dini ya Ukisto katika bajeti yake dunia. It is believed pale kwenye Ukristo ni rahisi zaidi kupenyeza interest za mabepari kuliko pale penye uislam. Wakati wa vita baridi ilikuwa ni vigumu sana kwa America na mataifa mengine ya magharibi kuwekeza pale ambapo kuna mkono wa USSR hivyo walitumia pupet readers na kutrain waasi kama Savimbi ili kupata walichokihitaji.
Lakini baada ya Vita baridi viongozi wengi wa wakristo wanasign hiyo mikataba bila shida, na ndio ulikuwa mwisho wa vita kama za Angola.Sio siri kwamba sasa watu wa magharibi wanapata shida kufanya biashara na nchi za kiislam, wanachofanya ni kuwepo puppet leaders kama Akina Kaizar na wengine ili wasign mikataba wanayotaka. Na kwa sasa wakiangusha Libya nafikiri sasa itakuwa ni Iran kwani huko ndio kunaonekana bado hawajaweka mtu wao.
Lakini pia zote hizo plan zinabaraka ya Ukristo kwani pia zinatumika kudhoofisha nguvu ya uislam
Kuhusu kuweka hii thread mpya bwana Nonda muungano huu watu wanaufamu tofauti labda kuweka thread kama unataka kujua uelewa wa watu kuhusu kwamba kwa nini Tanganyika iliungana na Zanzibar ninauhakika hapo utapata maoni tofauti tofauti. Mengi ya maoni ninayoona humu ndani watu wanasema muungani huu uko kwa ajili ya viongozi wa ccm Zanzibar na Bara.
Nimezipenda series zako inawezekana sababu ya kuungana kwa Tanganyika na Zanzibar ambazo watu wengi wanafundishwa mashuleni ikawa ni FALSE FLAG na sababu halisi zipo.Ila mheshimiwa role ya dini ipo sana na ni very sensitive kwa Tanzania, viongozi wengi hawapendi kuliongea hilo. Jikumbushe kauli ya Waziri wa Mambo ya nje wa Tanzania alipokuwa pro OIC miaka michache iliyopita , kilichoendelea makanisani haikuwa dini tena ilikuwa propaganda.
Nashukuru kwa maoni yako, i have watched all 19 series pamoja na documentary ya Aljazeera nimekuelewa sana bwana Nonda. Tatizo ni kwamba, hawa jamaa wamagharibi wana Intertwined ambitions, ukingalia hizo series zinaonyesha uvamizi wa Iraq, Afghan n.k ulikuwa wa Kibiashara zaidi, pia wanaonyesha how America walivyotumia False Flag kubomoa WTC ili kuanzisha vita nchini Iraq.
Lakini pia tambua kuwa ni kiasi gani America inasurpport dini ya Ukisto katika bajeti yake dunia. It is believed pale kwenye Ukristo ni rahisi zaidi kupenyeza interest za mabepari kuliko pale penye uislam. Wakati wa vita baridi ilikuwa ni vigumu sana kwa America na mataifa mengine ya magharibi kuwekeza pale ambapo kuna mkono wa USSR hivyo walitumia pupet readers na kutrain waasi kama Savimbi ili kupata walichokihitaji.
Lakini baada ya Vita baridi viongozi wengi wa wakristo wanasign hiyo mikataba bila shida, na ndio ulikuwa mwisho wa vita kama za Angola.Sio siri kwamba sasa watu wa magharibi wanapata shida kufanya biashara na nchi za kiislam, wanachofanya ni kuwepo puppet leaders kama Akina Kaizar na wengine ili wasign mikataba wanayotaka. Na kwa sasa wakiangusha Libya nafikiri sasa itakuwa ni Iran kwani huko ndio kunaonekana bado hawajaweka mtu wao.
Lakini pia zote hizo plan zinabaraka ya Ukristo kwani pia zinatumika kudhoofisha nguvu ya uislam
Kuhusu kuweka hii thread mpya bwana Nonda muungano huu watu wanaufamu tofauti labda kuweka thread kama unataka kujua uelewa wa watu kuhusu kwamba kwa nini Tanganyika iliungana na Zanzibar ninauhakika hapo utapata maoni tofauti tofauti. Mengi ya maoni ninayoona humu ndani watu wanasema muungani huu uko kwa ajili ya viongozi wa ccm Zanzibar na Bara.
Nimezipenda series zako inawezekana sababu ya kuungana kwa Tanganyika na Zanzibar ambazo watu wengi wanafundishwa mashuleni ikawa ni FALSE FLAG na sababu halisi zipo.Ila mheshimiwa role ya dini ipo sana na ni very sensitive kwa Tanzania, viongozi wengi hawapendi kuliongea hilo. Jikumbushe kauli ya Waziri wa Mambo ya nje wa Tanzania alipokuwa pro OIC miaka michache iliyopita , kilichoendelea makanisani haikuwa dini tena ilikuwa propaganda.
Last edited by a moderator:
