Rugemeleza
JF-Expert Member
- Oct 26, 2009
- 668
- 136
Barubaru,
Wao walinufaika sana na suala la elimu ya juu kwani walikuwa wanapata mikopo wakati si wa Tanzania halisi tulikuwa hatupati kitu. Kwa kweli kuendelea kung'ang'ania muungano ni kupoteza muda. Kila mtu aanze mbele na tuone nini kitatutokea. Tumebembeleza na kubembeleza lakini wenzetu wamekuwa kama ngamia waliomba kuingiza pua tu katika nyumba sasa wanataka kuingia wazima wazima. Haiwezekani kuelewana na mtu anayeamini kuwa "chako chetu lakini changu changu." Madhali muungano hawautaki na ulilenga kutunufaisha wote kila mtu achukue chake.
Wao walinufaika sana na suala la elimu ya juu kwani walikuwa wanapata mikopo wakati si wa Tanzania halisi tulikuwa hatupati kitu. Kwa kweli kuendelea kung'ang'ania muungano ni kupoteza muda. Kila mtu aanze mbele na tuone nini kitatutokea. Tumebembeleza na kubembeleza lakini wenzetu wamekuwa kama ngamia waliomba kuingiza pua tu katika nyumba sasa wanataka kuingia wazima wazima. Haiwezekani kuelewana na mtu anayeamini kuwa "chako chetu lakini changu changu." Madhali muungano hawautaki na ulilenga kutunufaisha wote kila mtu achukue chake.