Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Dubai tuna ugomvi gani nao?We hudhani kuwa kujitenga na zenji kunaweza hatarisha usalama wa taifa....especially kama baada tu ya kujitenga wakaamua kujiunga na dubai?
Hivi ni kitu gani ambacho kina wapa wazanzibari kiburi?....ule si mkoa tu, hauna madini wala nini.
We hudhani kuwa kujitenga na zenji kunaweza hatarisha usalama wa taifa....especially kama baada tu ya kujitenga wakaamua kujiunga na dubai?
We hudhani kuwa kujitenga na zenji kunaweza hatarisha usalama wa taifa....especially kama baada tu ya kujitenga wakaamua kujiunga na dubai?
wewe mdanganyika mwenye madini yanakusaidia nini?au yanawasaidia makaburu nawewe unaachiwa mahandaki matupu.Hivi ni kitu gani ambacho kina wapa wazanzibari kiburi?....ule si mkoa tu, hauna madini wala nini.
Hata kidogo kwani badala ya kpoteza nauli kwenda huko basi mnapanda Sea Epress mnakuja kubeba tosha yenu halafu mnapeleka Malawi, Uganda, Rwanda na hata Kongo mbili.We hudhani kuwa kujitenga na zenji kunaweza hatarisha usalama wa taifa....especially kama baada tu ya kujitenga wakaamua kujiunga na dubai?
Unaonaje kuondowa huo uroho wa madaraka tukafanya kama anavyotaka Kagame na Museveni? Hebu angalia nchi tano zikiwa na Rais mmoja na bunge moja huo uroho wa madaraka uaosema hautokuwepo.Kama muungano ni wakuvunjika hatimaye utavunjika. Huu muungano una lalamikiwa sana kila upande, Lakini siku ukivunjika kuna upande utaumia sanaaaaaaaaa!
Ningetamani kuona ukiboreshwa hasa kwa kuwa na serikali moja tu! Lakini kwa vile uroho wa madaraka unatawala; kuwa na serikali moja ni ndoto!