na kwakuwa cuf ni pemba na ccm ni unguja maeneo mengi watasumbuana sana, inaweza kuwa kama somalia.ikawa badala ya kujenga uchumi tunapeleka majeshi kulinda magaidi
We mburula kutukana unaona raha gani sasa.Pu-mbav!mumeshindwa kulinda tembo wenu na albino wasiuliwe muje kuweza kulinda magaidi?
Mkuu tusiwachoke wale wanaburuzwa na sefu wakati yeye anamalengo yake tuwashauri tusiwachoke kabisa.Kwakuwa wazanzibar ndo wako mstari wa mbele kutaka kuvunja muungano ilihali wakijua wao ndo watakua waanga wa kwanza kudhulika kwa kuzidi kubaguana pemba na unguja, wazanzibar na wazanzibara... ni sawa na mtoto kulilia wembe...
Me nasema bora tuwape visiwa vyao ili watupunguzie makelele yao make washakua kama mbu za usiku wa manane zikoseshavyo usingizi.... achana nao wakachinjane huko baharini...
Tumechoshwa na kelele za vijukuu vya sultani.
na kwakuwa cuf ni pemba na ccm ni unguja maeneo mengi watasumbuana sana, inaweza kuwa kama somalia.ikawa badala ya kujenga uchumi tunapeleka majeshi kulinda magaidi
Ni kweli Maana hao wana hamu sana na kuludisha wakoloni wa Kiaraabu ni Watu wenye njaa ya kutawaliwa wakati Dunia nzima inapiga vita Ukoloni wao wanashangaza Dunia kwa Kuwa na kiu ya Ukoloni Mtoto akililia Wembe mwachie ukimkata atashituka hao Wazanzibar ipo siku wataikumbuka Tanganyika baada ya Mateso ya waarabu kuwaathiliMkuu kwanza heshima yako, pili pole na kazi, tatu Shusha Munkari. Muungano ukivunjika zitapatikana nchi Mbili (1.Tanzania bara a.k.a Tanganyika; 2. Zanzibar): Baada ya hapo dhambi hiyo itawagawa Wazanzibar kwenye makundi mawili (WazanziBARA na WazanziBARI); Hawataishia hapo watasema Sisi ni Wapemba na Hawa ni Waunguja (Nchi mbili tena hapo UNGUJA na PEMBA). Kwahiyo Mkuu ili Unguja iwe salama (Watafanya kama Crimea walivyopiga kura kuomba kujiunga Rusia) wataomba kujiunga tena na Tanzania bara (Tanganyika). Dhambi hii itatusumbua sana.
Achana nao hata wakipiga kura kujiunga na Somalia poa tu,wakileta chochoko ni kuwamwagia uji wa moto basi.Mkuu kwanza heshima yako, pili pole na kazi, tatu Shusha Munkari. Muungano ukivunjika zitapatikana nchi Mbili (1.Tanzania bara a.k.a Tanganyika; 2. Zanzibar): Baada ya hapo dhambi hiyo itawagawa Wazanzibar kwenye makundi mawili (WazanziBARA na WazanziBARI); Hawataishia hapo watasema Sisi ni Wapemba na Hawa ni Waunguja (Nchi mbili tena hapo UNGUJA na PEMBA). Kwahiyo Mkuu ili Unguja iwe salama (Watafanya kama Crimea walivyopiga kura kuomba kujiunga Rusia) wataomba kujiunga tena na Tanzania bara (Tanganyika). Dhambi hii itatusumbua sana.
Muungano wetu unatikiswa kwa hoja ya serkali 3, lakini tukiwa na serikali 2 Tutadumu kwa miaka 50 mingine.
Naombeni tuunge two government system reformed.
Pia zanzibar ni kama kupe kwa tanganyika.we have resources in short we are reach ila nashangaa wanaoulilia muungano why why what do we get from them? Wapeni zanzibar yao siku wakitaka kurudi tutawakaribisha.mwanamke halazimishwi kuolewa anaamua kwa hiari kila kitu nyerere for what watu tuwe tunaangalia uhalisia na sio reference.
hakuna hasara, wala faida kwa muungano kuvunjika, sasa kuna umuhimu gani wa huu muungano kuwepo, Kwa faida ya nani.
leo hii baada ya kujadili katiba kwa niaba ya mtanzania maskini, katiba imekuwa no muungano mara serikali 3 na 2, Kwa manufaa ya nani, nini faida ya serikali 3 au 2 Kwa mtanzania masikini. acha muungano uvunjike kila mtu awe na serikali yake mambo yaendelee... leo hii wanasiasa wameiteka katiba, hawazungumzii tena yale ya maana kwa mtanzania masikini ila utasikia ooooh muungano, mara serikali tatu upumbavu mtupu.. TUAMKE WATANZANIA TUJIKOMBOE WENYEWE, TUSITEGEMEE KUKOMBOLEWA NAWANASIASA, TUWAKATAE ANZA SASA ULIPO GAP LA UMASIKINI NI KUBWA.
changia ili tujikomboe... tujengane kihoja na mawazo yaliotukuka.
Ni kweli Maana hao wana hamu sana na kuludisha wakoloni wa Kiaraabu ni Watu wenye njaa ya kutawaliwa wakati Dunia nzima inapiga vita Ukoloni wao wanashangaza Dunia kwa Kuwa na kiu ya Ukoloni Mtoto akililia Wembe mwachie ukimkata atashituka hao Wazanzibar ipo siku wataikumbuka Tanganyika baada ya Mateso ya waarabu kuwaathili
Wewe mpaka leo wakoloni munao munawaga dhahabu wanawaachia mashimo
Sijui kwanini tanganyika ni maskini mpk leo. Ujinga wako.