hakuna hasara, wala faida kwa muungano kuvunjika, sasa kuna umuhimu gani wa huu muungano kuwepo, Kwa faida ya nani.
leo hii baada ya kujadili katiba kwa niaba ya mtanzania maskini, katiba imekuwa no muungano mara serikali 3 na 2, Kwa manufaa ya nani, nini faida ya serikali 3 au 2 Kwa mtanzania masikini. acha muungano uvunjike kila mtu awe na serikali yake mambo yaendelee... leo hii wanasiasa wameiteka katiba, hawazungumzii tena yale ya maana kwa mtanzania masikini ila utasikia ooooh muungano, mara serikali tatu upumbavu mtupu.. TUAMKE WATANZANIA TUJIKOMBOE WENYEWE, TUSITEGEMEE KUKOMBOLEWA NAWANASIASA, TUWAKATAE ANZA SASA ULIPO GAP LA UMASIKINI NI KUBWA.
changia ili tujikomboe... tujengane kihoja na mawazo yaliotukuka.