mbishi2004
Senior Member
- Jan 26, 2014
- 134
- 28
Hayo yalikua wakati wa miaka ya Mwanzoni mwa uhuru na mivutano ya vita baridi kati ya Nchi za kibepari na kijamaa.Leo hii usalama wa nchi unategemea teknolojia na uchumi imara.Na ukumbuke suala la muungano liliasisiwa na Idara ya intelijensia ya Matekani.Walihofia kasi ya ukuaji wa uchumi wa Zanzibar na Utawala wa sulutani ambaye alikua ni Muarabu.Sehemu zote zenye waarabu wamarekani wanajenga hofu.
Kwa sasa hakuna haja ya kuhofia; Cha msingi ni kuwa na katiba ya wananchi wenyewe sio hiyo inayotungwa na wabunge na mawaziri na makada mbalimbalimbali wa vyama.Wao ndo wanataka kutuongoza halafu wanatutungia katiba.
Kama katiba itakubaliwa na wananchi wa Pemba ,Unguja ,Mafia na Tanganyika basi hapo tutakua na usalama mkubwa zaidi.
Huko n kuchukua risk kwan vta wakat wowote inaweza tokea hata km uchumi n mkubwa au mdogo na uelewe haimaanish kwamba yukijitenga bas ndo mambo yatakua shwar bali lazma kutakua na mtafaruko wa hapa na pale,tuweishika znz kiulinz hata kwa miaka mia kumi bt we cant drop it ,ni kwa kujihami kwan u cant determine war , fungua macho and keep yo heard up na uone mbali