tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 24,225
- 22,632
Hizo zote umetoa hoja dhaifu sana,pili umeonyesha faida ziko kwa wazanzibari,je watanganyika wanafaidika nini na muungano?
Kwa akili yako chochote alichokisema au kukifanya Nyerere hakitakiwi kuhojiwa?au ni kosa kukihoji.
Unaleta hoja ya kuoleana?hata watanzania wanaoishi mipakani wameoana sana na wenzao wa upande wa pili,je tuungane nao pia?
Hoja namba 6 ni hoja dhaifu kuliko zote,kwa hiyo tunaungana kwa kuhofia waarabu?
mkuu, soma vizuri hoja yangu uielewe. nimesema kwamba hizi ni BAADHI tu ya 'faida' na zimekuwa zikitolewa mara kwa mara na wale waumini wa serikali 2, sio hoja zangu hizi. Nimeziweka hapa makusudi ili tuzichambue na kuzidadavua.