Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
" ku-defense" na sio ku-defend..Mashaka tayari yanaingia mheshimiwa Rais.
sasa sarafu yetu vipi mkuu?
Kutakuwa na mambo mengi tu ya Kuyabadilisha. Kwakuwa nimewaomba Just 1year, itawabidi mkubali kufanya kazi had saa 6 USIKU ili kuijenga nchi yenu, yaani hakuna kulala kwenye kila sekta,. Wavivu watapata taabu sana ndani ya huo mwaka 1.
Soma hii(
[h=1]Hints for PhD Defenses[/h] At Columbia, PhD defenses are generally not public, although CS usually allows a student audience. Defenses consist of four parts: first, the candidate introduces themselves, then presents a summary of their work, interrupted and followed by questions from the committee. Finally, the committee meets in private to discuss the presentation and dissertation. )http://www.google.com/url?sa=t&rct=...zIHICQ&usg=AFQjCNG4EqYs7Cscmik-gDivn-ZTTQhVpA
kwanini tusikupe miaka mitano kabisa?
With all do respect Mr. President..the verb is to "defend" for any defenses you intend to make..Usitetee sana maana ndio tunaenda kwenye matope zaidi..
Mimi ni mtanzania wa hali ya kawaida sana . Ninakerwa na Viongozi wanao ogopa Kumfunga paka Kengele. Kikwete kasema Muungano yeye hauvunji labda atoke madarakani ndiyo watu waje kuuvunja. Inaonyesha CCM wanaogopa kubeba hiyo Dhambi ambayo kwenye Biblia wala Quran haipo. SASA MIMI NAJITOLEA KUBEBA HIYO LAWAMA KWA HISTORI YA VIZAZI VYOTE VITAKAVYOKUJA MBELE YETU. Nipeni Urais wa Mkataba wa Mwaka Mmmoja nifanye yafuatayo.
1. Siku ya pili baada ya kuapishwa Nitatangaza Nchi ya Tanganyika; hivyo nitatoa Mwezi MMOJA Wazanzibar wote popote pale walipo huku Tanganyika warudi kwao. Watakao taka kurudi Bara Wafuate taratibu za Uhamiaji.
2. Wanajeshi wote Kutoka Tanzania Bara watarudishwa Tanganyika. Hii ikiwa na kubeba Silaha zote zilizokuwa huko Visiwani.
3.Nitaimarisha ulinzi Mkali kwenye Mwambao wote wa Bahari ya Hindi Kuanzia Tanga hadi Mtwara.
4. Watanganyika Nitawapa Mwezi MMOJA waamue Jina la nchi yao. Je libaki kuwa TANZANIA au lirudi TANGANYIKA.
5.Vyama vya siasa Vitaamua vyenyewe kubadirisha majina au Kutumia hayohayo ya Mwanzo.
6. Mwisho Nitaitisha Uchaguzi mkuu Muwachague viongozi wenu mtakao wataka Wanchi yetu TANGANYIKA ambao hawatakuwa wamebeba hii lawama.
Asanteni sana. SITANII NIKO SERIOUS.
Mkuu mkinipa miaka mitano itabidi mjiandae kisaikolojia (Psychological preparations) kufanya kazi kama Wajapan, Wachina au Wakorea. Maana Mateja na wazurulaji, wakaa vijiweni n.k wote watakamatwa na kupelekwa kulima mashambani ili nchi iwe na Hazina ya kutosha ya Chakula, pia nawao watafaidika na ujira watakao kuwa wanaupata huko mashambani. Nitashusha bei ya Umeme wa Tanesco ili kuokoa miti kutokana na biashara ya mikaa (Hapa lazima Tanesco wafanye kazi ya ziada kuhakikisha umeme unapatikana wa kutosha na wabei ya chini). Wanaokwepa kulipa Kodi mfano Bandarini nitawapiga Kitanzi. Usalama wa raia utapewa Kipaumbele sana (OPERATION TOKOMEZA MAJAMBAZI, WIZI NA VIBAKA NCHI NZIMA), hapo mkuu Jeshi la polisi hakuna kulala. Kiufupi Mkinipa 5years nitawaendesha kwa Mkono wa CHUMA bila kupendelea wala kumuonea mtu. Je mtakuwa Tayari kwa huo MCHAKAMCHAKA.?
Mimi ni mtanzania wa hali ya kawaida sana . Ninakerwa na Viongozi wanao ogopa Kumfunga paka Kengele. Kikwete kasema Muungano yeye hauvunji labda atoke madarakani ndiyo watu waje kuuvunja. Inaonyesha CCM wanaogopa kubeba hiyo Dhambi ambayo kwenye Biblia wala Quran haipo. SASA MIMI NAJITOLEA KUBEBA HIYO LAWAMA KWA HISTORI YA VIZAZI VYOTE VITAKAVYOKUJA MBELE YETU. Nipeni Urais wa Mkataba wa Mwaka Mmmoja nifanye yafuatayo.
1. Siku ya pili baada ya kuapishwa Nitatangaza Nchi ya Tanganyika; hivyo nitatoa Mwezi MMOJA Wazanzibar wote popote pale walipo huku Tanganyika warudi kwao. Watakao taka kurudi Bara Wafuate taratibu za Uhamiaji.
2. Wanajeshi wote Kutoka Tanzania Bara watarudishwa Tanganyika. Hii ikiwa na kubeba Silaha zote zilizokuwa huko Visiwani.
3.Nitaimarisha ulinzi Mkali kwenye Mwambao wote wa Bahari ya Hindi Kuanzia Tanga hadi Mtwara.
4. Watanganyika Nitawapa Mwezi MMOJA waamue Jina la nchi yao. Je libaki kuwa TANZANIA au lirudi TANGANYIKA.
5.Vyama vya siasa Vitaamua vyenyewe kubadirisha majina au Kutumia hayohayo ya Mwanzo.
6. Mwisho Nitaitisha Uchaguzi mkuu Muwachague viongozi wenu mtakao wataka Wanchi yetu TANGANYIKA ambao hawatakuwa wamebeba hii lawama.
Asanteni sana. SITANII NIKO SERIOUS.
kama ndio hivyo bora tukupe UMUGABE tu mkuu
Una uzoefu gani katika uongozi?
Kwa hiyo unataka urais wa JF au vipi?
...ivi kwani muungano bado upo,au unazungumzia historia maana kinachofanyika sasa ni kutafuta namna bora ya kufunika kile alichosema nyerere nyufa za muungano,zilishavunjika...