Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Una faida gani na kwa manufaa ya nani?

Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Una faida gani na kwa manufaa ya nani?

" ku-defense" na sio ku-defend..Mashaka tayari yanaingia mheshimiwa Rais.

Soma hii(
[h=1]Hints for PhD Defenses[/h] At Columbia, PhD defenses are generally not public, although CS usually allows a student audience. Defenses consist of four parts: first, the candidate introduces themselves, then presents a summary of their work, interrupted and followed by questions from the committee. Finally, the committee meets in private to discuss the presentation and dissertation. )http://www.google.com/url?sa=t&rct=...zIHICQ&usg=AFQjCNG4EqYs7Cscmik-gDivn-ZTTQhVpA
 
Kwani hasara ya Muungano kwa pande zote mbili ni zipi, hususani kwa Zanzibar?
 
sasa sarafu yetu vipi mkuu?

Kutakuwa na mambo mengi tu ya Kuyabadilisha. Kwakuwa nimewaomba Just 1year, itawabidi mkubali kufanya kazi had saa 6 USIKU ili kuijenga nchi yenu, yaani hakuna kulala kwenye kila sekta,. Wavivu watapata taabu sana ndani ya huo mwaka 1.
 
Kutakuwa na mambo mengi tu ya Kuyabadilisha. Kwakuwa nimewaomba Just 1year, itawabidi mkubali kufanya kazi had saa 6 USIKU ili kuijenga nchi yenu, yaani hakuna kulala kwenye kila sekta,. Wavivu watapata taabu sana ndani ya huo mwaka 1.

kwanini tusikupe miaka mitano kabisa?
 
Soma hii(
[h=1]Hints for PhD Defenses[/h] At Columbia, PhD defenses are generally not public, although CS usually allows a student audience. Defenses consist of four parts: first, the candidate introduces themselves, then presents a summary of their work, interrupted and followed by questions from the committee. Finally, the committee meets in private to discuss the presentation and dissertation. )http://www.google.com/url?sa=t&rct=...zIHICQ&usg=AFQjCNG4EqYs7Cscmik-gDivn-ZTTQhVpA

With all do respect Mr. President..the verb is to "defend" for any defenses you intend to make..Usitetee sana maana ndio tunaenda kwenye matope zaidi..
 
Hata J k alianza kama wewe na aliapa kabisaa kuulinda muungano. Ona sasa.
 
kwanini tusikupe miaka mitano kabisa?

Mkuu mkinipa miaka mitano itabidi mjiandae kisaikolojia (Psychological preparations) kufanya kazi kama Wajapan, Wachina au Wakorea. Maana Mateja na wazurulaji, wakaa vijiweni n.k wote watakamatwa na kupelekwa kulima mashambani ili nchi iwe na Hazina ya kutosha ya Chakula, pia nawao watafaidika na ujira watakao kuwa wanaupata huko mashambani. Nitashusha bei ya Umeme wa Tanesco ili kuokoa miti kutokana na biashara ya mikaa (Hapa lazima Tanesco wafanye kazi ya ziada kuhakikisha umeme unapatikana wa kutosha na wabei ya chini). Wanaokwepa kulipa Kodi mfano Bandarini nitawapiga Kitanzi. Usalama wa raia utapewa Kipaumbele sana (OPERATION TOKOMEZA MAJAMBAZI, WIZI NA VIBAKA NCHI NZIMA), hapo mkuu Jeshi la polisi hakuna kulala. Kiufupi Mkinipa 5years nitawaendesha kwa Mkono wa CHUMA bila kupendelea wala kumuonea mtu. Je mtakuwa Tayari kwa huo MCHAKAMCHAKA.?
 
With all do respect Mr. President..the verb is to "defend" for any defenses you intend to make..Usitetee sana maana ndio tunaenda kwenye matope zaidi..

Nitakupa Wizara ya Elimu..............(natania). Tuko pamoja.
 
Mimi ni mtanzania wa hali ya kawaida sana . Ninakerwa na Viongozi wanao ogopa Kumfunga paka Kengele. Kikwete kasema Muungano yeye hauvunji labda atoke madarakani ndiyo watu waje kuuvunja. Inaonyesha CCM wanaogopa kubeba hiyo Dhambi ambayo kwenye Biblia wala Quran haipo. SASA MIMI NAJITOLEA KUBEBA HIYO LAWAMA KWA HISTORI YA VIZAZI VYOTE VITAKAVYOKUJA MBELE YETU. Nipeni Urais wa Mkataba wa Mwaka Mmmoja nifanye yafuatayo.

1. Siku ya pili baada ya kuapishwa Nitatangaza Nchi ya Tanganyika; hivyo nitatoa Mwezi MMOJA Wazanzibar wote popote pale walipo huku Tanganyika warudi kwao. Watakao taka kurudi Bara Wafuate taratibu za Uhamiaji.
2. Wanajeshi wote Kutoka Tanzania Bara watarudishwa Tanganyika. Hii ikiwa na kubeba Silaha zote zilizokuwa huko Visiwani.
3.Nitaimarisha ulinzi Mkali kwenye Mwambao wote wa Bahari ya Hindi Kuanzia Tanga hadi Mtwara.
4. Watanganyika Nitawapa Mwezi MMOJA waamue Jina la nchi yao. Je libaki kuwa TANZANIA au lirudi TANGANYIKA.
5.Vyama vya siasa Vitaamua vyenyewe kubadirisha majina au Kutumia hayohayo ya Mwanzo.
6. Mwisho Nitaitisha Uchaguzi mkuu Muwachague viongozi wenu mtakao wataka Wanchi yetu TANGANYIKA ambao hawatakuwa wamebeba hii lawama.
Asanteni sana. SITANII NIKO SERIOUS.

Una uzoefu gani katika uongozi?
 
Mkuu mkinipa miaka mitano itabidi mjiandae kisaikolojia (Psychological preparations) kufanya kazi kama Wajapan, Wachina au Wakorea. Maana Mateja na wazurulaji, wakaa vijiweni n.k wote watakamatwa na kupelekwa kulima mashambani ili nchi iwe na Hazina ya kutosha ya Chakula, pia nawao watafaidika na ujira watakao kuwa wanaupata huko mashambani. Nitashusha bei ya Umeme wa Tanesco ili kuokoa miti kutokana na biashara ya mikaa (Hapa lazima Tanesco wafanye kazi ya ziada kuhakikisha umeme unapatikana wa kutosha na wabei ya chini). Wanaokwepa kulipa Kodi mfano Bandarini nitawapiga Kitanzi. Usalama wa raia utapewa Kipaumbele sana (OPERATION TOKOMEZA MAJAMBAZI, WIZI NA VIBAKA NCHI NZIMA), hapo mkuu Jeshi la polisi hakuna kulala. Kiufupi Mkinipa 5years nitawaendesha kwa Mkono wa CHUMA bila kupendelea wala kumuonea mtu. Je mtakuwa Tayari kwa huo MCHAKAMCHAKA.?

kama ndio hivyo bora tukupe UMUGABE tu mkuu
 
Mimi ni mtanzania wa hali ya kawaida sana . Ninakerwa na Viongozi wanao ogopa Kumfunga paka Kengele. Kikwete kasema Muungano yeye hauvunji labda atoke madarakani ndiyo watu waje kuuvunja. Inaonyesha CCM wanaogopa kubeba hiyo Dhambi ambayo kwenye Biblia wala Quran haipo. SASA MIMI NAJITOLEA KUBEBA HIYO LAWAMA KWA HISTORI YA VIZAZI VYOTE VITAKAVYOKUJA MBELE YETU. Nipeni Urais wa Mkataba wa Mwaka Mmmoja nifanye yafuatayo.

1. Siku ya pili baada ya kuapishwa Nitatangaza Nchi ya Tanganyika; hivyo nitatoa Mwezi MMOJA Wazanzibar wote popote pale walipo huku Tanganyika warudi kwao. Watakao taka kurudi Bara Wafuate taratibu za Uhamiaji.
2. Wanajeshi wote Kutoka Tanzania Bara watarudishwa Tanganyika. Hii ikiwa na kubeba Silaha zote zilizokuwa huko Visiwani.
3.Nitaimarisha ulinzi Mkali kwenye Mwambao wote wa Bahari ya Hindi Kuanzia Tanga hadi Mtwara.
4. Watanganyika Nitawapa Mwezi MMOJA waamue Jina la nchi yao. Je libaki kuwa TANZANIA au lirudi TANGANYIKA.
5.Vyama vya siasa Vitaamua vyenyewe kubadirisha majina au Kutumia hayohayo ya Mwanzo.
6. Mwisho Nitaitisha Uchaguzi mkuu Muwachague viongozi wenu mtakao wataka Wanchi yetu TANGANYIKA ambao hawatakuwa wamebeba hii lawama.
Asanteni sana. SITANII NIKO SERIOUS.

Kwa hiyo unataka urais wa JF au vipi?
 
kama ndio hivyo bora tukupe UMUGABE tu mkuu

Kwanini mkuu? Mimi si mroho wa madaraka ila nachukizwa sana na viongozi wasiyoweza kuchukua hatua au kutoa maamuzi magumu. Mkinipa 5yrs Jiji la DSM litaongoza kuwa jiji safi Africa. Kiufupi Kufanya kazi serikalini itabidi mtu ajishauri mara 10 maana sifagilii ujinga na Mizaha kazini.
 
kura yangu nakupa.

Lakini usisahau kuanzisha sharia MPYA kwamba " Hairusiwi Mtanganyika kuwa na account nje ya nchi".
 
BAVICHA NA NDOTO ZA ALINACHA.......
niliwaambia humu Kuwa serikali Tatu hazitakuwepo hata msujudu uchi.
Hii nchi haiwezi kuendeshwa na mawazo ya KI-MBWA
 
...ivi kwani muungano bado upo,au unazungumzia historia maana kinachofanyika sasa ni kutafuta namna bora ya kufunika kile alichosema nyerere nyufa za muungano,zilishavunjika...

Muungano haupo ulifariki Miaka 47 iliyopita baada ya Zanzibar kugoma Kutoa Fedha za kugharamia muungano.Tambua sasa Zanzibar ni Mkoloni anaitawala Tanganyika ambayo bado haijapata Uhuru wake Ndio Maana wanasema Cha zenji ni cha zenji tu lakini cha Tanganyika ni cha wote wakati mwingine Tanganyika huambulia kidogo kingi hutumika kubembeleza muungano ambao up ICU .
 
Back
Top Bottom