Sio bora ni kitu lazima kwani Wazanzibari tumeteseka na tunateseka sana na hili Jinamizi la uvamizi kutoka Tanganyika liitwalo MuunganoNi bora huu Muungano wetu ukavunjika halafu tukawa nchi jirani zenye kupendana kuliko maelezo,ila hivi tulivyo inakuwa kama hatuelewani.
Tugawane mbao kisha kila mtu ajenge mtumbwi wake.
Tatizo wabara hawajiamini kujitawala,wanahisi watagawika ,Zanzibar imekuwa kama hirizi.
Hii ndio faida ya the freedom of expression, ingekuwa ni enzi za Mwalimu, wewe mtu huku mjini,; tungekusahau!, ambao wangekuona ni watu wa kijijini kwako tuu, tena ukitoka nje kuota jua!.Ni bora huu Muungano wetu ukavunjika halafu tukawa nchi jirani zenye kupendana kuliko maelezo,ila hivi tulivyo inakuwa kama hatuelewani.
Tugawane mbao kisha kila mtu ajenge mtumbwi wake.
Tatizo wabara hawajiamini kujitawala,wanahisi watagawika ,Zanzibar imekuwa kama hirizi.
Nani unamlaumu! Mlaumu baba yako wa taifa kwa u much know wakeWe umeona wapi muungano ambao unabagua watu?
Wazanzbar kumiliki ardhi TANGANYIKA n ruksa ila mtanganyika kumiliki ardhi Zanzibar haiwezekani
Asee uvunjike hata leo hamna Zanzibar mlichoifaidisha TANGANYIKA Zaid mmetupa mzigo tu wa kuwakopea kulipa tulipe Watanganyika
Mchukueni na mtu wenu tumemchoka hukuNi bora huu Muungano wetu ukavunjika halafu tukawa nchi jirani zenye kupendana kuliko maelezo,ila hivi tulivyo inakuwa kama hatuelewani.
Tugawane mbao kisha kila mtu ajenge mtumbwi wake.
Tatizo wabara hawajiamini kujitawala,wanahisi watagawika ,Zanzibar imekuwa kama hirizi.
Naunga mkono hoja uvunjwe, tunataka muungano wa hiari na siyo wa lazimaHii ndio faida ya the freedom of expression, ingekuwa ni enzi za Mwalimu, wewe mtu huku mjini,; tungekusahau!, ambao wangekuona ni watu wa kijijini kwako tuu, tena ukitoka nje kuota jua!.
Enzi hizo hata kufikiri tuu kuuvunja muungano ni kosa kubwa la uhaini!.
P
wote waondoke wakiongozwa na bibi yaoUkivunjika wazenji wote tunawatimua tuone nani atapata hasara
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Wazanzibar warudi wako wote hatuwatakiUnajua ni nini?
WaZanzibar hawana mchango kwa maisha ya Bara. Hilo hata wewe unalijua. Kama nimepotoka,nakubali kurekebishwa kwa mifano halisi. Muungano unawapendelea wazanzibar na kuwadekeza hadi inakuwa kero. Ka nchi kama mkoa lakini wabunge utitiri. Hamuoni kuwaita watu wabunge badala ya makatibu kata?
Nilichoota mimi miaka kadhaa nyuma, wakati nimekereka na huu muungano nyonya damu, ni kwamba. Cha muhimu kwa bara ni geographical position ya Zanzibar na tabia za Wazanzibar za uvivu na uarabu. Nikaota kwamba , ni lazime tuwashikilie ili muongozwe kwa sababu kinyume cha pale, tunayoyasikia kule yatakuwa dirishani. Nani atakuwa salama?
Acha ujinga wewe pimbi hao unaosema hawana huo ubavuKazi mnayo, mkimaliza huko muanze kupambana pia kupata Uhuru kutoka Kenya na Rwanda wanaowatawala sasa hivi.
Acha ujinga wewe pimbi hao unaosema hawana huo ubavu
Mimi ni Mbara, ila napenda tabia na hulka ya Wazanzibari ya uaminifu. Huku sisi uaminifu ni adimu.Unajua ni nini?
WaZanzibar hawana mchango kwa maisha ya Bara. Hilo hata wewe unalijua. Kama nimepotoka,nakubali kurekebishwa kwa mifano halisi. Muungano unawapendelea wazanzibar na kuwadekeza hadi inakuwa kero. Ka nchi kama mkoa lakini wabunge utitiri. Hamuoni kuwaita watu wabunge badala ya makatibu kata?
Nilichoota mimi miaka kadhaa nyuma, wakati nimekereka na huu muungano nyonya damu, ni kwamba. Cha muhimu kwa bara ni geographical position ya Zanzibar na tabia za Wazanzibar za uvivu na uarabu. Nikaota kwamba , ni lazime tuwashikilie ili muongozwe kwa sababu kinyume cha pale, tunayoyasikia kule yatakuwa dirishani. Nani atakuwa salama?
Kwa vile huu muungano wetu adhimu umeishia ingiwa, na hakuna vipengele vya jinsi ya kuuvunja, then muungano wetu ni wa milele na tutaulinda kwa gharama yoyote!.Naunga mkono hoja uvunjwe, tunataka muungano wa hiari na siyo wa lazima
Vipi na majeshi yataenda Zanzibar 2025 kuipa Chama maiti ushindi tena.Kwa sasa wanapata mgao nusu.....awamu hii Tanganyika itatoa damu hadi akili ikae sawa.
Manufaa ya huu muungano mnayaona watawala pekee? niambie mimi raia wa hali ya chini nanufaika na nini?Kwa vile huu muungano wetu adhimu umeishia ingiwa, na hakuna vipengele vya jinsi ya kuuvunja, then muungano wetu ni wa milele na tutaulinda kwa gharama yoyote!.
P