Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Una faida gani na kwa manufaa ya nani?

Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Una faida gani na kwa manufaa ya nani?

Ni bora huu Muungano wetu ukavunjika halafu tukawa nchi jirani zenye kupendana kuliko maelezo,ila hivi tulivyo inakuwa kama hatuelewani.
Tugawane mbao kisha kila mtu ajenge mtumbwi wake.
Tatizo wabara hawajiamini kujitawala,wanahisi watagawika ,Zanzibar imekuwa kama hirizi.
Sio bora ni kitu lazima kwani Wazanzibari tumeteseka na tunateseka sana na hili Jinamizi la uvamizi kutoka Tanganyika liitwalo Muungano
 
Ni bora huu Muungano wetu ukavunjika halafu tukawa nchi jirani zenye kupendana kuliko maelezo,ila hivi tulivyo inakuwa kama hatuelewani.
Tugawane mbao kisha kila mtu ajenge mtumbwi wake.
Tatizo wabara hawajiamini kujitawala,wanahisi watagawika ,Zanzibar imekuwa kama hirizi.
Hii ndio faida ya the freedom of expression, ingekuwa ni enzi za Mwalimu, wewe mtu huku mjini,; tungekusahau!, ambao wangekuona ni watu wa kijijini kwako tuu, tena ukitoka nje kuota jua!.

Enzi hizo hata kufikiri tuu kuuvunja muungano ni kosa kubwa la uhaini!.
P
 
We umeona wapi muungano ambao unabagua watu?

Wazanzbar kumiliki ardhi TANGANYIKA n ruksa ila mtanganyika kumiliki ardhi Zanzibar haiwezekani

Asee uvunjike hata leo hamna Zanzibar mlichoifaidisha TANGANYIKA Zaid mmetupa mzigo tu wa kuwakopea kulipa tulipe Watanganyika
Nani unamlaumu! Mlaumu baba yako wa taifa kwa u much know wake
 
Ni bora huu Muungano wetu ukavunjika halafu tukawa nchi jirani zenye kupendana kuliko maelezo,ila hivi tulivyo inakuwa kama hatuelewani.
Tugawane mbao kisha kila mtu ajenge mtumbwi wake.
Tatizo wabara hawajiamini kujitawala,wanahisi watagawika ,Zanzibar imekuwa kama hirizi.
Mchukueni na mtu wenu tumemchoka huku
 
Hii ndio faida ya the freedom of expression, ingekuwa ni enzi za Mwalimu, wewe mtu huku mjini,; tungekusahau!, ambao wangekuona ni watu wa kijijini kwako tuu, tena ukitoka nje kuota jua!.

Enzi hizo hata kufikiri tuu kuuvunja muungano ni kosa kubwa la uhaini!.
P
Naunga mkono hoja uvunjwe, tunataka muungano wa hiari na siyo wa lazima
 
Kazi mnayo, mkimaliza huko muanze kupambana pia kupata Uhuru kutoka Kenya na Rwanda wanaowatawala sasa hivi.
 
Unajua ni nini?
WaZanzibar hawana mchango kwa maisha ya Bara. Hilo hata wewe unalijua. Kama nimepotoka,nakubali kurekebishwa kwa mifano halisi. Muungano unawapendelea wazanzibar na kuwadekeza hadi inakuwa kero. Ka nchi kama mkoa lakini wabunge utitiri. Hamuoni kuwaita watu wabunge badala ya makatibu kata?

Nilichoota mimi miaka kadhaa nyuma, wakati nimekereka na huu muungano nyonya damu, ni kwamba. Cha muhimu kwa bara ni geographical position ya Zanzibar na tabia za Wazanzibar za uvivu na uarabu. Nikaota kwamba , ni lazime tuwashikilie ili muongozwe kwa sababu kinyume cha pale, tunayoyasikia kule yatakuwa dirishani. Nani atakuwa salama?
Wazanzibar warudi wako wote hatuwataki
 
wazanzbr wale watakuwa na nchi mbili,yaani kisiwa Cha unguja kitajitegemea na pemba pia itakuwa nchi, halafu wale wako mil.moja tu ,sisi tuko mil60+,dawa yao tukishavunja tu muungano tunapeleka vijana wetu zbr wakaoe mabnt wote wa zbar,baada ya miaka michache tutakuwa na watt wetu na wajukuu kule,hatimaye litakuwa koloni letu kwa mala nyingine
 
Unajua ni nini?
WaZanzibar hawana mchango kwa maisha ya Bara. Hilo hata wewe unalijua. Kama nimepotoka,nakubali kurekebishwa kwa mifano halisi. Muungano unawapendelea wazanzibar na kuwadekeza hadi inakuwa kero. Ka nchi kama mkoa lakini wabunge utitiri. Hamuoni kuwaita watu wabunge badala ya makatibu kata?

Nilichoota mimi miaka kadhaa nyuma, wakati nimekereka na huu muungano nyonya damu, ni kwamba. Cha muhimu kwa bara ni geographical position ya Zanzibar na tabia za Wazanzibar za uvivu na uarabu. Nikaota kwamba , ni lazime tuwashikilie ili muongozwe kwa sababu kinyume cha pale, tunayoyasikia kule yatakuwa dirishani. Nani atakuwa salama?
Mimi ni Mbara, ila napenda tabia na hulka ya Wazanzibari ya uaminifu. Huku sisi uaminifu ni adimu.
 
Bro Marley ameshasema everyone has a right to determine his destiny and on this judgement no partiality. Huu ndio ukweli daima milele.
 
Kwa sasa wanapata mgao nusu.....awamu hii Tanganyika itatoa damu hadi akili ikae sawa.
Vipi na majeshi yataenda Zanzibar 2025 kuipa Chama maiti ushindi tena.
Acha wakamue si mmnalizamisha kupendwa, mtajua hamjuhi.. warabu hao sio watu hata kidogo..
 
Back
Top Bottom