kero za muungano ni muungano wenyewe.
Ivi kaka mimi na wewe tukikubaliana kuwa marafiki tukaishi hivo kwa muda mara mie nikaamua nisiwe rafiki yako kwanini wewe ung'ang'anie kuwa rafiki yangu? I mean kwa nini Bara tunang'ang'ania kuwa na muungano na wakati upande wa pili hawautaki?
wengne hatuelewi tueleweshwe tunashabikia
tu...
Tanganyika icwepo au iwepo its not my concern nnachotaka maisha bora, kodi hasa
PAYE ipungue..
Wale wapemba waliojazana kariakoo warud kwao nataka kuanza kuuza duka langu
kariakoo ajira Tanganyika hamna mmezishika
nyie wazanzibar..
ngja nianze kuangalia frem na viwanja
kariakoo vya kumiliki..
Wazanzibar tuwaache waendeleze nchi yao
wanavyotaka ila wakija huku permit km kawa
renewable in two years na watatakiwa walipe
2,000usd ili kuzipata cjui zitakuwa class
gan..!!!! Wale wapemba nlosoma nao cpat
picha teh teh,
Lkn ccm bla muungano c itarud kuwa TANU??
Polen watawala, chama kikibadilika jina tunarudia uchaguz wa nchi nzima
Wachaga busy kusaka maduka kariakoo so
wapemba mtajiondoa wenyewe kwa kutaka
serikali tatu..support without knowledge
weekend walikuwa wanaenda zanzibar bla
hata kuaga, muungano hamna lazma tuombe
VISA, madem zetu wa kipemba byebye...
Bakhresa nae arudishe viwanda vyake kwao
pemba, opportunity kwa Mengi(IPP)..
Juice ya bakhresa itauzwa 4,000/- kwa lita ili kupromote kutumia vya nyumban kutoka kwa
mengi ambayo itauzwa 2,500/- kwa lita..discouraging importation..
maembe ya
zanzibar yatatosha kutengeneza juice za
bakhresa kusambaza africa mashariki?
opportunity for tanganyika to export to
Zanzibar...
Zanzibar itakuwa nchi ya kiislam, Tanganyika
je?? Padri Mushi rudi nyumban Kilimanjaro
muungano ushavunjika, so sad hyo sio nchi
yako tena unachukuliwa kama adui, utumishi
rudisha nyumban JK hana sauti tena
huko....!!!
Ntaomba kaz immigration kuhakikisha naondoa wapemba wote dar es salaam afu nickie
vjana wa dar mnalalamika ukosefu wa ajira, discrimination..
wapemba wote huku bara watapata jina jipya la "magaidi",mabomu yote yanayolipuka huku Arusha tutakuwa tunawakamata wao kwanza kusaidia upelelez, so sad cz nchi si sio ya kwao..!!!
"is all of this is divide and rule tactics? struggle
for power? racism?"
Yetu macho cz muundo ulivyo hautuhusu kura
yenyewe hatujawahi kupiga, tuna kadi za
vyama vyote(opportunity seekers) tunaangalia
opportunity inayojitokeza kwenye kila
kinachofanywa..
muungano ukivunjika
nkimuona mpemba tu hata nauza juice
namripoti immigration kama vle nmemuona
mkongo..