Return2roots
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 874
- 438
dmkali, kijamii, muungano wetu ni wa asili...mbagamoyo, kiudugu yuko karibu zaidi na muunguja, kupita mbara mwenzie wa ukerewe....na ktk hali yoyote mahusiano baina ya wa bagamoyo na waunguja, yana faida kubwa kwao, kupita ya wabagamoyo na wa Ukerewe. Lakini siasa na mawazo ambayo msingi wake ni kuutukuza ukoloni (ukoloni wa wazungu wa kikristu ktk bara,na ukoloni waarabu wa kiislam ktk zanzibar), imekuwa ni fitna inayotia upofu kuiona kweli, na faida za muungano.
Leo hii mfano, (very sad) mtu, mwanasiasa ambae kwa asili ni muhindi tu ambae amejaaliwa na Mungu kuzaliwa Zanzibar, ni sehemu ya wenye fikra za kuleta jeuri yenye lengo la kusaliti maamuzi ya "wazawa" huru, kuunda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...lkn pia kuna sampuli ya watu wa aina hiyo hata ktk bara, ati wakiamini kuna faida kubwa kweli, ktk muungano wa mfyomi wa manyara, na mbagamoyo,yanayozidi mahusiano yote yakimuungano kati ya mbagamoyo na muunguja..
Leo hii mfano, (very sad) mtu, mwanasiasa ambae kwa asili ni muhindi tu ambae amejaaliwa na Mungu kuzaliwa Zanzibar, ni sehemu ya wenye fikra za kuleta jeuri yenye lengo la kusaliti maamuzi ya "wazawa" huru, kuunda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...lkn pia kuna sampuli ya watu wa aina hiyo hata ktk bara, ati wakiamini kuna faida kubwa kweli, ktk muungano wa mfyomi wa manyara, na mbagamoyo,yanayozidi mahusiano yote yakimuungano kati ya mbagamoyo na muunguja..