GHIBUU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 4,432
- 3,013
hahaha upemba na unguja sio ukabila,ni sawa na kuita wewe mtu wa arusha na wewe mtu wa ziwa la viktoria,huo sio utengano kwetu,kwani hao waunguja wengewe hapa zanzbar ni asilimia 10 tu,na hivyo basi hawako tena kutoka damu zimeshaingiliana zamani,na hapa kwetu zanzbar mambo haya ya ubaguzi yamekuja juzi tu,miaka 200 nyuma hayakuwapo,hizi zilikuwa ni agenda za ccm tu.
Kibaya zaidi bara,naona kuna makabila 200 hapo ndio tuuwana ,naona tanganyika itagawika vipe vipande kama sudani,kutokana uwongozi mbovu,rasilimali wanfaidika wao tu,watoto wenu waka kaa chini mashuleni,huko vijijini,hospitali hakuna ,wanaofaidika watu wa mjini tu,na hata hivyo unachangia huduma ya afya na elimu sasa jiulize pesa zinaenda wapi za rasilimali zenu,kama barabara zinajengwa kwa misaada,na afya na elimu,
Bado kazi kwenu ,,sisi kheri kwetu,,,
Kibaya zaidi bara,naona kuna makabila 200 hapo ndio tuuwana ,naona tanganyika itagawika vipe vipande kama sudani,kutokana uwongozi mbovu,rasilimali wanfaidika wao tu,watoto wenu waka kaa chini mashuleni,huko vijijini,hospitali hakuna ,wanaofaidika watu wa mjini tu,na hata hivyo unachangia huduma ya afya na elimu sasa jiulize pesa zinaenda wapi za rasilimali zenu,kama barabara zinajengwa kwa misaada,na afya na elimu,
Bado kazi kwenu ,,sisi kheri kwetu,,,