Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie Faida hamuioni? hamuoni ZNZ wana taifa wakati Tanganyika haipo? hamuoni watu chini ya milion 2 wanawachimba mkwara watu mil 40 wote mnafyata? hamuoni faida wakati wa ZNZ wanawaongoza wa Bara wakati wa bara ni makurufu kwa mtu wa Bara kuwa kiongozi wa siasa ZNZ.
Nyie hamuoni faida wakati katika mchakato wa katiba mpya maamuzi yote lazima wakubaliane Raisi wa ZNZ na Raisi wa Tanzania sasa napata shaka Bara wao nani anakubali kwa niaba yao?
Aaaaaaaaaaahhhhhhhhhhhh FAIDA ZIPO BANA acha UVIVU WA KUFIKIRI
Nyie Faida hamuioni? hamuoni ZNZ wana taifa wakati Tanganyika haipo? hamuoni watu chini ya milion 2 wanawachimba mkwara watu mil 40 wote mnafyata? hamuoni faida wakati wa ZNZ wanawaongoza wa Bara wakati wa bara ni makurufu kwa mtu wa Bara kuwa kiongozi wa siasa ZNZ.
Nyie hamuoni faida wakati katika mchakato wa katiba mpya maamuzi yote lazima wakubaliane Raisi wa ZNZ na Raisi wa Tanzania sasa napata shaka Bara wao nani anakubali kwa niaba yao?
Aaaaaaaaaaahhhhhhhhhhhh FAIDA ZIPO BANA acha UVIVU WA KUFIKIRI
Unatusaidia kuweka maadui mbali na pwani yetu kwa Dar es salaam. Tuna mahali pa kuweka majeshi yetu!!
Binmgeni umenfurahisha, Nyerere kazidiwa nini na Karume? Lol!
Anyway ebu tuacheni izi chuki pembeni na ukweli usemwe. Tanganyika inafaidika na muungano na kutokana izo faida chache basi ni muhimu kuliko wanavyonufaika na wazanzibar. Mi mwenyewe mzenji mnatwita urojo, mdebwedo na maneno mengine ya dharau. Lakini mwisho wake mnaonekana nyinyi ndi mdebwedo na urojo, kama alivosema jamaa Tanzania inachimbwa mkwala na watu milioni 2, ata mbunge wa chadema kalisema ilo na nnakubaliana nae, Zanzibar ya urojo ndio kizuizi cha mambo mengi ya Tanganyika Sembe! Na msipolitizama mtajikuta kuwa aloyataka Nyerere yatamgeukia, jamani simameni muidai Tanganyika!
Na alosema kuwa Zanzibar nchi amekosea, twende UN tutafute bendera na uwakilishi wa Zanzibar, Zanzibar na Palestine bora palestine angalau inatambulika km ni watu wanaodai utaifa Sisi Zanzibar hatujafika ata EAC kudai utaifa.
Anyway nlioneshwa sheria flani za international about kumiliki bahari basi nkaona kuwa Tanganyika inafaidika apo because sheria imeipa nguvu kisiwa kumili eneo kubwa la bahari, manake umiliki wa bahari Tanganyika ni mdogo kwa sababu visiwa vya Zanzibar vipo karibu na bahari ni milki yao, hapo nlijua kwanini nyerere alisema kuwa kama angekuwa na uwezo angeliviondoa visiwa hivyo!
Mnasema kuwa mnaibeba Zanzibar, sijafaham apo mana mi naona kula cha Zanzibar kinafanywa na Zanzibar yenyewe! Tena mwaibeba vipi? TRA nao wanakula hela za zanzibar, mana inakuaje ulipe ushuru mara 2? Zanzibar ulipe na Dar ulipe heh! TRA imeambiwa iweke account 1 kwa TRA zote zilizopo then about 14% am not sure iende Zanzibar, hilo limepungwa!!
Kuna watu wanasema kuwa wabara hawapewi ardhi unguja, hilo ni uongo, hamujatembea znz, ukienda Shamba utakuta wenye kumiliki na wenye hela zao hununua majumba ama kukodi nyumba zanzibar. Wengine wanasema Biashara za wabingo Zanzibar zinachomwa moto, hebu jiulize kwanini zinachomwa moto? Unajenga Bar na kuharibu watoto wa watu unategemea wazazi wafanye nini?
Waznz waliopo Dar wanajiendesha wenyewe na huskii biashara zao zikichomwa moto because hawajishuhulisha katika mambo ya kipuuzi kama Bar na kuuza wanawake.
Kuna watu wanafikiria kuwa Znz bila ya Muungano haitafika mbali, zanzibar itafika mbali tena sana, Zanzibar ndo ilokuwa the Gate to Africa, freeport, biashara ilikua Znz ndo penyewe asa!,,, msitutishe bureee, Serikali ya Tanzania ni ya Tanganyika!
Unatusaidia kuweka maadui mbali na pwani yetu kwa Dar es salaam. Tuna mahali pa kuweka majeshi yetu!!