Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
serikali tatu ni gharama na haina mantiki ni bora kila nchi iwe na serikali yakenaipenda tanzania lakini naikumbuka Tanganyika imenyongwa na kuuwawa! Nadhani serikali 3 ni muhimu saaana!
Wapemba wanamjua Nyerere na mchango wake kwa Zanzibar? Hebu waone MUHADHARA WA KUWAAMSHA KUELEKEYA UHURU WETU - YouTubeHamna Muungano wa kuvunjika, Zanzibar itaweza kulipa gharama za damu, jasho, pesa na watu wa Tanganyika walipokuwa wanakombolea na Mwalimu?
Kwa hiyo malipo ya watanganyika walio kufa ni kuendelea na muungano.....yaani umenikumbusha na jaama mmoja alimosomesha demu tangu akiwa sekondari mpaka chuo lakini jamaa akaja akapiga kibuti mpaka leo anauguza maumivu...Hamna Muungano wa kuvunjika, Zanzibar itaweza kulipa gharama za damu, jasho, pesa na watu wa Tanganyika walipokuwa wanakombolea na Mwalimu?
Asnte sana kwa link hiyo umenifanya nijue mambo mengi sana ya waznz acha niya fatilie....Wapemba wanamjua Nyerere na mchango wake kwa Zanzibar? Hebu waone MUHADHARA WA KUWAAMSHA KUELEKEYA UHURU WETU - YouTube
Asnte sana kwa link hiyo umenifanya nijue mambo mengi sana ya waznz acha niya fatilie....
Wazanzibari ni wezi na ni wanyang'anyi bila hata huruma, hebu tafuteni stori za Watanganyika wanavyonyanyaswa kwao, na isingekuwa uoga wa umma wa tanganyika kujibu (sio serikali) bunge lao lilikuwa lipitishe muswada wa kurudisha wabara wote kama wakimbizi, walisahau hao wabara wachache wameenda juzi tu na ni kwa sekta moja ya Utalii tu, na wale walioenda kupindua mwa 64, nusu yao wazanzibari pamoja na viongozi wapo bara na Mungu atunusuru kwani ni maadui wakubwa hawa, hasa hawa walioko serikalini.Faida nyingi wanapata wazanzibar. Yaani waruhusiwa kumiliki ardhi bara na unguja.wanaruhusiwa kugombea uongozi bara au zanzibar. Wana bunge lao, rais wao, bendera yao, wimbo wao. Nk. Lakini bado wanalalamika tu. Hawatosheki tu labda mji mku uwe zanzibar!
Jamhuri ya Kiislamu ya Zanzibar, ndio ndoto yao, na sio yao mradi huu wa afadhili na msukumo toka Iran, Uamsho wa Waislamu ni umoja wa vikundi 35 vya kidini Zanzibar vyenye nia moja ya kujiondoa na msaada wa nje wanao, pia Serikali ya karume ilisaidia.Wapemba wanamjua Nyerere na mchango wake kwa Zanzibar? Hebu waone MUHADHARA WA KUWAAMSHA KUELEKEYA UHURU WETU - YouTube