Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Muungano ulifanyika kumzuia Sultan kurudi Visiwani hata akipata msaada wa kijeshi kutoka Oman. Hili limefanikiwa lakini aliyelifanikisha amewaacha Wangazija na Wapemba umasikini mkubwa.
Kiuchumi Sultani angekuwepo sasa hivi Visiwa vingekua kama Dubai.
Kiuchumi Sultani angekuwepo sasa hivi Visiwa vingekua kama Dubai.