Ndo Maana Mliambiwa muende shule!!!! Haya mambo yako primary mpaka sekondary!!!
Zifuatazo ni faida za muungano!!
1~Ajira zinapatikana kwa kila upande...
Hayo uliyoyataja yote 1 - 4, yangewezekana hata pasingekua na huo muungano. tizama Umoja wa Ulaya mbona kila mmoja ana nchi yake na wanashirikiana mambo mengi tu.