Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 8,428
- 4,022
muarobaini wa matatizo yote haya ni katiba tu.watangulizi waliitengeneza hiyo katiba kwa ajili ya kulinda maslahi yao na pia inawezekana mazingira ya wakati ule yaliwalazimu wafanye vile lkn kwa sasa hakuna njia nyingine zaidi ya kuwa na katiba mpya na sielewi kwa nn mamlaka zinaogopa kuwa na katiba mpya wakati majirani zetu wamezibadilisha katiba zao mara kibao.katiba tulionao inatubagua na pia inatoa mamlaka makubwa kwa watawala.
Katiba ya wapi Na huu ni uvamizi uliopewa Jina la muungano ?