Simiyu Yetu,Mkuu umewahi kuiona tanganyika? Je muundo wake ulikuwaje make tunaweza kudai kitu ambacho hakijawahi kuwepo.
maganjwa,kila la heri ni mawazo yako kwa taarifa yako hako hakuna anayingangania zanzibar mchakato wa kuvunja muungano sio kichwa cha mada hii na waliofanikisha ni watanganyika wewe furahi tu utakuwa huru.
Wazanzibar hawako tayari kuttokuwa na serikali yao wako tayari muungano ufe kuliko kukosa serikali yao na wabunge wote wa ccm hilo wanalijua na kuhusu serikali mbili ni matatizo juu ya matatizo,sasa kwa maoni yangu na wengi wasio ccm tunaona ni bora tuwe na serikali tatu ili kudumisha muungano japokuwa serikali ya muungano haitakuwa na nguvu sana ila itasaidia kudumisha undungu wetu.madaraka ya rais wa jamhuri ya muungano(ibara ya 85 :1-6) kutangaza hali ya hatari ni moja ya safari ya mafahari wa tanganyika na zanzibar watakapomgomea rais wa jamhuri ya muungano kwa maana katika mambo ya muungano hakuna hali ya hatari. Hapo ndipo mgogoro wa serikali tatu utapoanzia na zanzibar kama katiba yao hawatakubali kubadilishwa kipengele cha amri ya kutoka kwa serikali ya jamhuri ya muungano kwamba haitatekelezwa mpaka ipitiwe na baraza la wawakilishi basi mtafaruku huo utaleta hali ya hatari kwa rais wa muungano kushindwa kutumia madaraka yake na mwisho kuzaa mgogoro wa kimamlaka na kwa kuwa zanzibar haitaki muungano basi hiyo itakuwa dirisha la kutoka kwaenye muungano na kujitangazia kama nchi huru
Je wanajamvi hali hiyo imekaaje maana hiyo ndio rasimu inavyosema.
MM nipo Rukwa nakunywa kahawa ya ZATEPA
hapo nilipoweka bold.,kweli wewe unatumia ma------.., unadhani chakula kitakuwa shda kwenye kisiwa wao wataexempt tax kwenye importation ya chakula so tutakaohangaika kuwapelekea chakula ni sisi coz kutakuwa na market na pia kumbuka wanapenda sana kununua india na Thailand.., then kaa ukijua bidhaa kama sukari Tanzania unanunua 2000 per kg while ukiagiza kutoka brazil wakalipia tu port charges na import tax unaweza ukanunua 1kg kwa 1200 tena retail price hiyo na ni akili ya kitoto kuikomoa Zanzibar kupandisha kodi kwa vtu vnavyoenda Zanzibar., Tanganyika tuna umaskini wa kujitakia.., wakenya wanakuja kwetu kuchukua raw materials kama chai na maidi wanaenda kuprocess wao kwenye vwanda vyao wanauza nje na kujitangaza kuwa kila kitu asili yake Kenya,.. so hata Zanzibar wanaweza kujenga vwanda na raw materials wakafuata huku coz ni karibu mno,, na pia sisi we can do mambo mengi bila kutegemea muungano so sioni sababu za watu wa Tanganyika kuwang'ang'ania watu wanamtukana shujaa wetu nyerere wakimwita aliyelaaniwa.., for sure its time to time to start processes of ending this union ili tuheshimiane
Kablay muungano kulikuwa hakuna katiba ? Tabu kweli kubishana na mtu asikuwa na elimu.kwanini mmevunja muungano na kujitungia katiba ndani ya muungano
nimekuelewa mkuu, ila yote uliyosema ni masikitiko ya kuzimwa kwa zile ndoto za kuimeza Zanzibar ambazo Watanganyika walikuwa wakiota na sasa wanaona kama ni ndoto za Alinacha!! maana kwa ulimweng wa sasa huwezi kulazimisha matakwa nje ya yale wananchi wanataka! Kwa Wazanzibar wanaonekanwa wanataka Uhuru zaidi wa kufany mambo yao ili kuwezesha uchumi wao kwa maslahi ya watu wao, hilo halina kificho wala sio haramu, lakin Uhuru huo wataupataje? Ni lazima kuwe na Muungano utaosimamia misingi ya hakki na usawa! hiyo ndio hoja kuu, sio issue ya Zanzibar kubadili katiba yao, Wazanzibar wana Uhuru wao wa kuifanyia watakavyo katiba yao maana ile ni Mali yao, sasa kama tuna uchu na Muungano huu tuifufue Tanganyika kisha tuone mambo yatavyoenda! Zanzibar ina wenyewe, Tujadili Tanganyika yet!
dullyhami;
Huhitaji chumvi ili kuhalalisha kifo cha huu muungano. Tayari umeshakufa kwa kiila mtu isipokuwa ccm na cuf. Hakuna muungano hapa. Wanaojua wanacho kipata kwenye huo muungano ni ccm na cuf peke yao. Unaposema kuwa ati ilikuwa ni ndoto ya Tanganyika kuimeza Zanziba si kweli kabisa. Tanganyika ikitafuta nini huko??? Kama ni Bahari, Mbona tunayo tangu kule Mpakani na Mombasa mpaka karibia Maputo???? Kama ni bandari tumeshindwa hata kuzilinda watu huingia na kutoka ka bafuni. Kama ni ardhi eneo la Zanziba halifikii tarafa ya Mvomero, kama ni watu, population ya Zenj haifikii ya Wilaya ya Temeke. Jamani mbona hamna dogo? Kweli wanasema; Akikuchoka hakuchagulii tusi. Sawa ndg zetu, ondokeni lakini pole pole tu na kwa ustaarabu. Huend tukaombana moto.
Nendeni, tena mapema kabisa kabla ya jua kutua. Siku mkimwona Mmbara huko hata biriani msimpe. Lakini, ole ni wenu, tutakapo wavurumisha hawa Wapemba na vibanda vyao Kariakoo ,paka Kigoma. Tutaona wataenda kuviegesha wapi. Weye ka huna banda ndo maana washangilia kuuvunja muungano.
Kuna wznz wa aina mbili wapi unaoongelea?Wazanzibar hawana biashara ya vinyago wala karanga, ndio maana wanafany business eneo lolote dunia hii, sio Tanganyika tuu hadi Kenya tupo wala hatujaungana nao, na ktk hilo Watanganyika hamuna wazimu wa kususia biashara za Wazanzibar, maana nyie njaa zenu zimezidi hata kam kuna passport mutakuja tu.....!!
Ulianza kwa hoja madhubuti ila umemalizia kwa utumbo, lakini tunakwambia kama hoffu yako ni kuvunjika kwa Muungano hilo sio tatzo kwa Mzanzibar yyte hata kam yupo Tanganyika, vinginevyo ni lazma kuwe na Muungano wa usawa na hakki, sio huu wa kiini macho..!! Kisha nakuomba kasome tena historia kisha ndipo ujigambe kwamb Tanganyika ina bahari...!!
Wazanzibar hawana biashara ya vinyago wala karanga, ndio maana wanafany business eneo lolote dunia hii, sio Tanganyika tuu hadi Kenya tupo wala hatujaungana nao, na ktk hilo Watanganyika hamuna wazimu wa kususia biashara za Wazanzibar, maana nyie njaa zenu zimezidi hata kam kuna passport mutakuja tu.....!!
Kuna wznz wa aina mbili wapi unaoongelea?
Wale wavuvi weusi wanaokuja soko la samaki au wale wa Oman?
Watanganyika watakuja znz, na wale wznz laki 5 walioko bara watakwenda wapi?
dullyhami;
Kuota ndoto ni kuzuri sana, ota tu hata mchana lakini usiziamini sana ndoto. Hiyo historia yako imekuambia Tanganyika haina bandari? Kweli, piganieni Dola yenu, huenda na Morogoro ikawa yenu yakhee.
Ota ndoto kuna siku, hilo limuungano mtalivunja ndipo sekeseke lianze la kuikomboa pwani yoote na mikoa jirani kwani ni ile Otoman Empire.
Muungano au Ukoloni wa Tanganyika kwenye ardhi ya Zanzibar
Nguruvi3,Kuna wznz wa aina mbili wapi unaoongelea?
Wale wavuvi weusi wanaokuja soko la samaki au wale wa Oman?
Watanganyika watakuja znz, na wale wznz laki 5 walioko bara watakwenda wapi?
Nataka unijibu kwa hoja sio unaleta viroja apa...!! iko wapi pwani ya TanganyiOka, ivo yule babu yenu ni mpuuzi saaana kuhamishia makao makuu Dodoma...?
Hakuna chuki, yote uliyosema ni kweli. Hao wa oman unaozungumzia ni wale walioko kwao. Mimi nazungumzia ;wa Oman wa znz' na wavuvi wa znz.Nguruvi3,
Wa Oman ndio mliokwenda kuwaomba kuja kuwajengea Bandari Mtwara, miaka yote na hela.zote na utajiri wote.mmeshindwa kujenga hata bandari ya uvuvi. Wa Omani ndio wanaoleta ndege zinazowabeba mwende Dubai kutafuta magari machakavu. Hao ndio wamo katika mchakato wa kulifufua shrika la ndege la Tanzania ATCL, tayari ndege nane za kisasa zimo katika mchakato wa kuletwa Tz. Mumepandikizwa chuki dhidi ya waarabu hususan waislam. Sasa mbona hao wanao washawishi mchukie waarabu mnaacha wale wanaowaingiza katika madeni IMF na World bank ili kuidamirisha nchi. Millenium Goals mshapewa.