Sawa kabisa,, JMT iwe symbolic,Hilo ndio suluhisho Katiba mpya na serikali ziwe Tatu, Serikali ya Tanganyika, Serikali ya Zanzibar, Serikali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania hizi chokochoko tunazifukia baharini[emoji3][emoji3]
Mnawadai shilingi ngapi deni la umeme?Zanzibar acha waitumue vyema fursa waliyo ipata. Inaweza isijirudie tena. Na baada ya miaka 20 tukiendelea hivi zanzibar haitakamatika. Kuna uwezekano mkubwa wananchi wa kule wakapata benefits nyingi na bora sana.
Jiulize deni tunalo wadai la umeme wamesha lilipa? Au wanatulalia tu
Jenga Hoja mkuu Zanzibar kuwa km mwanzo sahau aliyeiunga ni karume ndo mtu pekee aliekuwa na uwezo wa kuvunja Muungano na kuifanya Zanj iwe huru wapili ni Aboud Jumbe likamkuta lakumkuta hakuna mwengine anaeweza na kudhubutu. [emoji3][emoji3][emoji1787] Issue ni katiba mpya na hizo serikali 3.Kwa nini hamtaki kuungana na Burundi mpate hizo serikali 3 mnazotaka? 1964 Zanzibar ilikosa silaha za kupambana na genge la akina Okello na wenzake waliovamia Zanzibar. Zingekuwepo ingetokea kama kinavyotokea Ukraine.
Kijana.Mngelalamika na Magufuli alivyokuwa anaipendelea chato,
Simlikuwa mnasema Chato nayo Ni Tanzania hakuna ubaya eti!!!
Unadhani kwanini raisi msitaafu alisema mngewasha kibatari endapo umeme ungekatwa? Na tena akaongeza kuwa hilo swala linatambulika tangu awamu zilizo pita. deni la zaidi ya miaka 20. Sasa wewe una taarifa zaidi ya raisi wako?Mnawadai shilingi ngapi deni la umeme?
Weka mchanganuo wake hapa, uonyeshe ni la mwaka gani na gani, mliwauzia units ngapi kwa shilingi ngapi na wamelipa au hawakulipa ngapi.
GT wanataka kujua vitu kama hivyo, sio uongo uongo tu na umbeya mwingi kama wanawake wa Kiswahili.
Karume ni mtu wa Malawi, mambo ya Zanzibar hayamhusu. Swali bado lipo, kwa nini hamtaki kuungana na Burundi au hata Msumbiji mpate hizo serikali 3 mnazotaka kila siku?Jenga Hoja mkuu Zanzibar kuwa km mwanzo sahau aliyeiunga ni karume ndo mtu pekee aliekuwa na uwezo wa kuvunja Muungano na kuifanya Zanj iwe huru wapili ni Aboud Jumbe likamkuta lakumkuta hakuna mwengine anaeweza na kudhubutu. [emoji3][emoji3][emoji1787] Issue ni katiba mpya na hizo serikali 3.
Nahuu uwazi na ukweli ndo shida ilipo yaani wa Tz wakifichwa mambo ndo wanatulia wacha wale bata bana.Miaka yote mikopo ikitoka inatumika bara tu, na wazenji hawakuruhusiwa kukopa kama wao,, watu wa bar tuna ubinafsi sana[emoji28]
Hakuna muenyeji Zanzibar wote wakuja umeona wapi kisiwa kikawa kina uzawa wasili hata ww usikute babu yako wa baba yako kwao Congo au Muscat huko.Karume ni mtu wa Malawi, mambo ya Zanzibar hayamhusu. Swali bado lipo, kwa nini hamtaki kuungana na Burundi au hata Msumbiji mpate hizo serikali 3 mnazotaka kila siku?
Niko Zanzibar 2000 napata unit 4.8, japo sifurahii kabisa huu muungano wa kinyonyaji.Kilo moja ya sukari Zanzibar ni sh 1900 je ni wapi bara sukari inauzwa hivyo na je Zanzibar wana viwanda vingapi vya sukari?? Hawa jamaa wanatukamua kweli na siajabu ukakuta umeme wa sh 2000 zanzibar mtu anapata unit 75
Mkuu. mimi sijui na wala sina jibu la mambo haya, lakini inanisukuma nichangie mjadala huu, kwani ni muhimu zaidi kuliko kukaa kimya na maumivu ndani kwa ndani.Habari zenu wakuu?
Kama nitamkwaza mtu naomba nisamehewe lakini siwezi kukaa kimya.
Serikali imetoa mpangilio wa matumizi ya mkopo wa IMF , Tsh Trillion 1.3 za kitanzania.
Kama ifuatavyo;
(i). Sekta ya maji- Billion 139.4
(ii). Elimu -Billion 368.9
(iii). Afya - Billion 90.2
(iv).Jamii yenye maisha duni - Billion 5.5
(v). Makundi maalum - Billion 5
(vi). Shughuli za uratibu - billion 5
(vii). SERIKALI YA ZANZIBAR - BILLION 231
********************************************
* Yani Tanzania bara tupo zaidi ya million 55 ila jamii yenye mazingira magumu inapewa billion 5 wakati kwa takwimu za harakaharaka nadhani inakadiriwa waTz wenye maisha duni ni zaidi ya million 7. ni dhahiri hiyo hela haitoshi kbsa maana hata watu wa tasafu wanalipwa kiduchuuuuuu.
*Zanzibar ina wakazi zaidi ya 1 million kwanini fedha zote hizi ziende kwao ilihali serikali ingepunguza walau billion 100 na kuzijaza kwenye yafuatayo...
-mikopo ya vijana yenye riba nafuu au 0% riba
-kuongeza hela kwenye hiyo bajeti ya afya ili hospitali za wilaya na zahanati za kata vijijini vikapata vifaa pungukiwa.
-basi jamani hata walimu kadhaa wajengeeni nyumba za kukaa hata mbili tatu za kuzuga na hyo bilion 100
HAYO NI BAADHI AMBAYO YAPO KICHWANI KWANGU ILA NAJUA KILA MTU ANA YAKE AKILINI.
Ni nini faida ya muungano kwa Tanzania bara?
mzalendo wa kweli.
Hapa kwetu lita ya mafuta ya kula imefika 9000
mkate- 1300
soda -700
mchele wa kawaida 1kg-2200
Chanzo ya picha ya budget -TBC
maoni yaliongezewa - Mzalendo wa kweli
Nawasilisha.
Waliohamia kwanza ndiyo wenjeji. Kama mnavyofanya huko bara. Wengi mna asili ya kwengine lakini waliohamia kwanza huko Sukuma land ndiyo wenyeji.Hakuna muenyeji Zanzibar wote wakuja umeona wapi kisiwa kikawa kina uzawa wasili hata ww usikute babu yako wa baba yako kwao Congo au Muscat huko.
Washiraz? [emoji44][emoji16]Waliohamia kwanza ndiyo wenjeji. Kama mnavyofanya huko bara. Wengi mna asili ya kwengine lakini waliohamia kwanza huko Sukuma land ndiyo wenyeji.
Na ubaya zaidi ni kwamba huwezi ukasema na wewe utahamia huko ili ukafaidi keki; lakini yule aliyeko huko, akiona kuna unafuu upande wa pili, ana HAKI ya kufuata huo unafuu upande wa pili!Tanganyika tunarudi nyuma kwa spidi ya mwanga huku Zanzibar ikichanja mbuga kuelekea kwenye neema.
Tatu za nini. MOJA inatosha.SAHIHI KABISA TUKIWAAMBIA TUWE NA SERIKALI 3 MNAKENUA MENO
Katika mambo waliyopigania sana ni kuweza kukopa. Rais JK akawapa fursa hiyoSiri ya mtungi aijue _____ Usikute haya hata mwanzo yalifanyika lkn kukawa na usiri.
Huu Muungano kuna haja yakurekebishwa zaidi kwa baadhi ya vipengele zaidi ni vyema kila upande ungejitegemea kwenye swala zima la mikopo kila mtu abebe msalaba wake lakini usikute mtoa mada unalalamika wakati hata hiyo Zanzibar haina mamlaka ya kukopa km nchi bila kibali cha Tanganyika.
Hapana hawahitaji kukopa. Nitashangaa sana kama Zanzibar watataka kukopa halafu wazuiwe.Na usikute kuna mikopo inakuwa address kwa Zanzibar moja kwa moja lkn mtoaji kibali nani kuidhinisha hilo ni Tanganyika so unategemea nini wakati hayo yalikuwa yanafanyika nyuma sasa aliekuwepo ni Mzanzibari na moja yamambo yalikuwa yanapigiwa kelele ni haya niwakati wake kuwaliwaza WaZanzibar.
Weka data kijana acha kuruka ruka.Unadhani kwanini raisi msitaafu alisema mngewasha kibatari endapo umeme ungekatwa? Na tena akaongeza kuwa hilo swala linatambulika tangu awamu zilizo pita. deni la zaidi ya miaka 20. Sasa wewe una taarifa zaidi ya raisi wako?