Nazgur
JF-Expert Member
- Apr 19, 2020
- 3,729
- 2,851
Waliomba wenyewe baada ya kuuwana wenyeqe kipindi cha usulutaniUtafikiri Wazanzibar walikuja kuomba Muungano Bara 😄😄😄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waliomba wenyewe baada ya kuuwana wenyeqe kipindi cha usulutaniUtafikiri Wazanzibar walikuja kuomba Muungano Bara 😄😄😄
Mwinyi alikuwa wa bara?Kwanini hizo kero zimefanywa Siri namna zilivyotatuliwa?Usiri Huo una Nini ndani yake?Ulitaka kero za Muungano zichukue mda gani kutatuliwa?
Kwa nini Marais wa Bara walikuwa wanapuuza?
Wewe kabla ya kusema zimefanywa Siri ulikuwa unazifahamu?Mwinyi alikuwa wa bara?Kwanini hizo kero zimefanywa Siri namna zilivyotatuliwa?Usiri Huo una Nini ndani yake?
Gerson Msigwa: Makubaliano ya kero za Muungano kuanikwa Septemba 18, 2021
Jumapili ya Septemba 18, 2021 Serikali itaweka wazi kilichosainiwa na Mawaziri wa pande mbili za Muungano katika kutatua kero za Tanganyika na Zanzibar. Ahadi hiyo imetolewa na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa wakati akizungumzia mipango ya Taifa leo alipokutana na waandishi wa habari...www.jamiiforums.com
Sasa mbona mnawang'ang'ania wakati hawataki na wanataka wajitoe?Waliomba wenyewe baada ya kuuwana wenyeqe kipindi cha usulutani
Nikiona mtu anaingiza matusi kwenye ujengaji wa hoja huwa namweka kapuni!Asubuhi njema!Wewe kabla ya kusema zimefanywa Siri ulikuwa unazifahamu?
Kwani Mwinyi ana asili ya Zanzibar au Bara?
Muulize PM na VP akupatie kero zilizotatuliwa sio kuhemka kwa nyege.
Jibu hoja acha kuhemka kwa nyegeNikiona mtu anaingiza matusi kwenye ujengaji wa hoja huwa namweka kapuni!Asubuhi njema!
Kama ni hivyo basi zanziba itawajibika kulipa ili deni kisheria isipokuwa hiyo asilimia 4.5 tu ndiyo italipwa na muungano hivyo mama anaitia zanziba kwenye deni kubwaHivi karibuni, kuna taarifa zilizowekwa wazi kwenye baadi ya vyombo vya habari, juu ya mgawanyo wa mikopo ya nje, kati ya Tanzania bara na Zanzibar.
Mkopo wa pesa ya Uviko 19, tunaambiwa Zanzibar ilipata 21%. Mkopo wa kutoka Japan, tunaambiwa Zanzibar imepata 30%.
Ni bora tutengane tu,kwenye masuala ya ulinzi kama itakuwa lazima basi ndio tuwe na makubaliano!Tumeizulumu sana Zanzibar kwa miongo ming wakati we're equal partners kwenye Muungano 50/50.
Kutengana kutalisaidia Taifa la Tanganyika lililofutwa na Wanasiasa wenye uchu wa Madaraka kurejea tena na Zanzibar kurejesha kiti chake kwenye Umoja wa Mataifa.Ni bora tutengane tu,kwenye masuala ya ulinzi kama itakuwa lazima basi ndio tuwe na makubaliano!
50/50 wakati mdanganyika hawezi kumiliki ardhi Zanzibar na mzanzibar anaweza kumiliki ardhi Bara!
Ufutwe tu huu Muungano!Kutengana kutalisaidia Taifa la Tanganyika lililofutwa na Wanasiasa wenye uchu wa Madaraka kurejea tena na Zanzibar kurejesha kiti chake kwenye Umoja wa Mataifa.
Mabadiliko yote ya muungano yanatakiwa yapitishwe na theluthi mbili ya baraza la wawakilishi na theluthi mbili ya bunge la muunganoKero za Muungano zimetatuliwa ndani ya miezi michache tangu SSH aingie madarakani!🤣🤣
Tumepigwaaaaaa!
Mkuu hizo ni kero na sio mabadiliko ya Muungano!Mabadiliko ya Muungano ni kama muundo wa serikali NK!Lakini mgawo na vitu vingine vidogo vidogo ni makubaliano tu!Mabadiliko yote ya muungano yanatakiwa yapitishwe na theluthi mbili ya baraza la wawakilishi na theluthi mbili ya bunge la muungano
Hakuna mkataba wa muungano uliozungumzia mgawanyo wa mapato ya nje. Swala la 4.5% lilikuja baada ya kuvunjika EAC mwaka 1977. Wakati wa kugawana mapato likaja swali sisi Tanzania tutagawanaje mapato baina ya Tanganyika na Zanzibar? Kumbuka Zanzibar ilikuwa imejiunga na EAC kama nchi kamili wakati wa kuanzishwa kwake. Ndipo akatafutwa mshauri elekezi kushauri mgawanyo. Huyo mshauri ndiye alipendekeza hiyo 4.5 na JMT ikakubali ushauri huo. Hivi ndivyo ilivyokuwa. Utaratibu huu, kwa bahati mbaya, ndio uliendelea kutumika hata kwenye misaada na hata hivyo mara zote Zanzibar ilikuwa ama haipati chochote au inapata chini ya 4.5Mkataba wa Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar, umeweka wazi kanuni ya mgawanyo wa mikopo na misaada kutoka nje, ambapo Zanzibar inastahili kupewa 4.5%.
Of course, only pussies can start articles like this.I am very sorry, this article is not for the brainless.