Muungano wetu: Mgao wa Fedha za IMF na Zanzibar kupewa asilimia 18, ni sahihi?

SAHIHI KABISA TUKIWAAMBIA TUWE NA SERIKALI 3 MNAKENUA MENO
 
sio sahihi,ndio maana kuna umuhimu wa katiba mpya ili mambo yote haya yawekwe masharti na makubaliano. watanganyika tusilale.
 
Siri ya mtungi aijue _____ Usikute haya hata mwanzo yalifanyika lkn kukawa na usiri.

Huu Muungano kuna haja yakurekebishwa zaidi kwa baadhi ya vipengele zaidi ni vyema kila upande ungejitegemea kwenye swala zima la mikopo kila mtu abebe msalaba wake lakini usikute mtoa mada unalalamika wakati hata hiyo Zanzibar haina mamlaka ya kukopa km nchi bila kibali cha Tanganyika.

Na usikute kuna mikopo inakuwa address kwa Zanzibar moja kwa moja lkn mtoaji kibali nani kuidhinisha hilo ni Tanganyika so unategemea nini wakati hayo yalikuwa yanafanyika nyuma sasa aliekuwepo ni Mzanzibari na moja yamambo yalikuwa yanapigiwa kelele ni haya niwakati wake kuwaliwaza WaZanzibar.
 
Wazenji kupewa hela sikatai ,shida kwanini mitiririko ya hela kubwakubwa inahisiwa kupelekwa zenji.

ila sisi wadanganyika ndo tunalipa kwa haya

yani makundi maalum sirikali inatoa billion 5 tu jmn kwa nchi nzima zaidi ya 55 million ila zenji kwa mgawanyo wao wa hizo nillion 231 inaonekana kuwa hao wakisiwani makundi maalum yametengewa zaidi ya billion 10 kwa watu hao idadi ya million 1

DANGANYIKA ITAENDELEA KULIWA MPKA 2030 NA KUFIKIA HUKO ZENJI BAR ITAKUWA ISHAKUWA KAMA OMAN.

Sent from my SM-M307F using JamiiForums mobile app
 
Hapa kwetu lita ya mafuta ya kula imefika 9000
mkate- 1300
soda -700
mchele wa kawaida 1kg-2200
Wanasema ni zamu yao na mtapiga kelele baadaye mnazoea na kukaa kimya.

Hapa unguja mafuta 5000-6000 lita.
Mkate boflo shs 200-500
Soda shs 500
Mchele 25kg (mnaita kiroba) shs 37,000, tena mwingine unatoka mbeya.
 
Ndo nikakamwambia mwanzo km ww unavolalamika na Wazanzibar miaka ya nyuma walikuwa wanalalamik moja ya kero za muungano kuhusu mikopo Zanzibar haiwezi pata mkopo nje hata kama kuna mfadhili tayari yupo kibali lazima kitoke Tanganyika nawao wapewe kidogo sio kile walichoomba nafikiri sasa hivi hiyo kero imetatuliwa ndomana unaona kuna percent maalum inaenda huko inabidi uzoee lkn inavoonekana kero hiyo inageuka kwa watanganyika kuona Zanzibar inapendelewa [emoji3][emoji3]
 
Watakaolipa ni kina nani ?

Na malipo yawe ki-percent 50/50 sio kwa kila individual au wingi wa watu
 
Huo mgawanyo umefanywa na nani au taasisi gani? Na vigezo gani vimegumika ktk kufanya mgawanyo huo??

NASISITIZA KATIBA MPYA NA BORA INAITAGIKA TANZANIA VERY URGENTLY
 
Dawa hapa ni katiba bora, hata awamu iliyopita, pesa nyingi za mikopo zilienda kuijenga Chato. Kila kitu kilikuwa ni Chato
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…