Muungano wetu: Mgao wa Fedha za IMF na Zanzibar kupewa asilimia 18, ni sahihi?

Muungano wetu: Mgao wa Fedha za IMF na Zanzibar kupewa asilimia 18, ni sahihi?

Nini huwa kinatangulia! Inatangulia ramani au kilichowekwa kwenye ramani?

Tafuta articles of union uzisome, utaipata sehemu inayosema:

Nchi hizi mbili, Tanganyika na Zanzibar, zimeungana kuunda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mambo yote yasiyo ya Muungano kwa upande wa Zanzibar yatasimamiwa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar. Mambo yote yasiyo ya Muungano kwa upande wa Tanganyika, yatasimamiwa na serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Usijifunge akili kwenye mambo madogo kama ramani. Tanganyika ipo, na ndiyo inayoibeba JMT. Ndiyo maana kuna mahakama kuu ya Tanganyika, kuna chama cha Wanasheria wa Tanganyika.
Tanganyika siyo JMT kwa sababu kwenye ramani, Tanzania imejumlisha na Zanzibar. Na kama Tanganyika ingekuwepo ingeonekana kwenye ramani. Usipuuze ramani, maana nchi zinatambulika rasmi kupitia kwenye ramani. Chama cha wanasheria wa Tanganyika kilianzishwa wakati Tanganyika ipo kwenye ramani. Lakini leo Tanganyika haipo.
 
Hey stop!

Hakuna mkoa wa Tanganyika unaolingana na Zanzibar!

Zanzibar ni ndogo kuliko SIKONGE

ZANZIBAR, eneo la kilomita za mraba 2462, inaingia Halmashauri ya Wilaya ya SIKONGE, eneo la kilomita za mraba 27842, mara kumi na nne!

Kwa idadi ya watu, Zanzibar, Unguja na Pemba that is, watu mil 1.4 wanaingia Halmashauri ya Wilaya wa Kinondoni, watu 2.8 mil mara mbili!

Watu wa Zanzibar - kama watu wote wa Kinondoni wangehama wakapaacha wazi for 15 minute in a demographic experiment - Wazanzibar wasingeweza kujaza viwanja, majumba, mashamba, mashule, biashara na ajira za Halmashauri ya Wilaya ya Kinondoni!

Julius Nyerere's most catastrophic decision is indisputably the fat-headed blunder of uniting our country with the Zanzibar archipelago.
Tanyanyika iko wapi? Kama Tanganyika bado ipo basi hata Buhaya, Busukuma, Chaga kingdom, na zinginezo bado zipo. Lakini nyie wenyewe mlimsikiliza Nyerere na mlikataa makabila yenu. Leo mnaioenea wivu Zanzibar mnataka kuirudisha Tanganyika kwa nguvu ambayo huyo huyo Nyerere aliiuwa.
 
Nakuonea huruma kwa sababu unachangia jambo usilo na uelewa nalo.

Huo mgawanyo wa Zanzibar kupata 4.5% imetamkwa wazi kuwa ni kwa misaada ya nje na mikopo toka nje.
Mikopo huwezi kugawa kwa asilimia hasa mikopo ya maendeleo. Kwa mfano mradi wa maji Arusha $500M una gawa 4.5% kwa Zanzibar!! Au fly over ya ubungo ni mkopo wa world bank pesa ngapi imegaiwa Zanzibar?. Ujenzi wa Airport ya Zanzibar watagawa vipi kkutupa 95.5 bara! Tatizo watu wengi hamfikirii vizuri mnapenda ushabiki zaidi kuliko kujua. Mapato ni tofauti maana ni makusanyo, misaada nayo ya nchi inawezekana lakini siyo yote mfano msaada kwa Tanzania wa kupunguza uaribifu wa bahari Tanzania utajumuisha mikoa yote yenye bahari na zanzibar. Msaada wa usafi wa maziwa huwezi kupeleka Zanzibar bali kigoma, kanda ya ziwa…… . Misaada ni miradi na kitu tofauti sana
 
Hey stop!

Hakuna mkoa wa Tanganyika unaolingana na Zanzibar!

Zanzibar ni ndogo kuliko SIKONGE

ZANZIBAR, eneo la kilomita za mraba 2462, inaingia Halmashauri ya Wilaya ya SIKONGE, eneo la kilomita za mraba 27842, mara kumi na nne!

Kwa idadi ya watu, Zanzibar, Unguja na Pemba that is, watu mil 1.4 wanaingia Halmashauri ya Wilaya wa Kinondoni, watu 2.8 mil mara mbili!

Watu wa Zanzibar - kama watu wote wa Kinondoni wangehama wakapaacha wazi for 15 minute in a demographic experiment - Wazanzibar wasingeweza kujaza viwanja, majumba, mashamba, mashule, biashara na ajira za Halmashauri ya Wilaya ya Kinondoni!

Julius Nyerere's most catastrophic decision is indisputably the fat-headed blunder of uniting our country with the Zanzibar archipelago.
Kwa fact hizi, kinachofanyika kwenye hii migao inayopelekwa zanzibar ni hujuma kwa Tanganyika...........wanaenda kuingiza Tanganyika kwenye madeni makubwa na umaskini wa kutisha.
 
Mikopo huwezi kugawa kwa asilimia hasa mikopo ya maendeleo. Kwa mfano mradi wa maji Arusha $500M una gawa 4.5% kwa Zanzibar!! Au fly over ya ubungo ni mkopo wa world bank pesa ngapi imegaiwa Zanzibar?. Ujenzi wa Airport ya Zanzibar watagawa vipi kkutupa 95.5 bara! Tatizo watu wengi hamfikirii vizuri mnapenda ushabiki zaidi kuliko kujua. Mapato ni tofauti maana ni makusanyo, misaada nayo ya nchi inawezekana lakini siyo yote mfano msaada kwa Tanzania wa kupunguza uaribifu wa bahari Tanzania utajumuisha mikoa yote yenye bahari na zanzibar. Msaada wa usafi wa maziwa huwezi kupeleka Zanzibar bali kigoma, kanda ya ziwa…… . Misaada ni miradi na kitu tofauti sana
Unaongelea yiyopo kichwani mwako au unaongelea articles of union zinasema nini kuhusu misaada na mikopo ya nje?
 
Tanganyika siyo JMT kwa sababu kwenye ramani, Tanzania imejumlisha na Zanzibar. Na kama Tanganyika ingekuwepo ingeonekana kwenye ramani. Usipuuze ramani, maana nchi zinatambulika rasmi kupitia kwenye ramani. Chama cha wanasheria wa Tanganyika kilianzishwa wakati Tanganyika ipo kwenye ramani. Lakini leo Tanganyika haipo.
Kwa hiyo kila kilichoanzishwa wakati Yanganyika ipo, kimeendelea kuwa cha Tanganyika?

Kuna ramani inalitaja ziwa Nyasa ni Lake Malawi, na ramani nyingine zinalitaja Lake Nyasa. Kwa uelewa wako, kwa sababu hayo yote yapo kwenye ramani, ni sahihi?
 
Unaongelea yiyopo kichwani mwako au unaongelea articles of union zinasema nini kuhusu misaada na mikopo ya nje?

Flyover ya Ubungo ni mkopo Zanzibar imepata kiasi gani? Pesa ya maji Arusha ni mkopo Zanzibar imepata kiasi gani? . Hakuna mgao kwenye miradi mgao ni kwenye misaada au mapato. Sababu kubwa mahitaji haya fanani! Tufikirie badala ya kuweka ushabiki
 
Kwa hiyo kila kilichoanzishwa wakati Yanganyika ipo, kimeendelea kuwa cha Tanganyika?

Kuna ramani inalitaja ziwa Nyasa ni Lake Malawi, na ramani nyingine zinalitaja Lake Nyasa. Kwa uelewa wako, kwa sababu hayo yote yapo kwenye ramani, ni sahihi?
Hilo ziwa lina mgogoro (border dispute) ndiyo maana unaona kuna ramani zinasema ziwa Nyasa zingine zinasema lake Malawi. Mgogoro ukitatuliwa (reached settlement) ramani nazo zitabadilika. Ni sawa na ghuba ya uajemi, waarabu wanaiita Arabian Gulf, Iran wanaiita Persian Gulf. Wakitatua migogoro yao hiyo ghuba itaitwa jina moja na ramani zitabadilishwa. Kuna mifano mingi tuu mengine ya sehemu au majimbo ambayo yana migogoro. Tanganyika haina mgogoro, ilishakufa rasmi. Ndiyo maana haipo kwenye ramani yoyote ile kwa sababu haitambuliki rasmi.
 
Huu Muungano utaendelea kubakia kuwa ni wa kipuuzi tu miaka yote. Sijaona faida yoyote ile kwa Tanganyika kuungana na Zanzibar.

Huwezi kuungana na watu wabinafsi, na wategemezi siku zote! Watu wa changu changu, chako changu!
Kwahiyo watanganyika muko tayari muungano uvunjike?
 
Kwa fact hizi, kinachofanyika kwenye hii migao inayopelekwa zanzibar ni hujuma kwa Tanganyika...........wanaenda kuingiza Tanganyika kwenye madeni makubwa na umaskini wa kutisha.
Ha ha ha- payback period kwa kuwakandamiza wazanzibar miaka zaidi ya nusu karne. Hii curtain raiser subiri main show mjomba.
 
Ha ha ha- payback period kwa kuwakandamiza wazanzibar miaka zaidi ya nusu karne. Hii curtain raiser subiri main show mjomba.
Mkuu huoni kwamba Tanganyika ikikunjua makucha yake unaelewa ni nani ataumia........anyway, iachwe kama ilivyo nafikiri hatutasikia tena huko mbeleni malalamiko ya kero za muungano hata mama atakapoondoka.
 
Hata kesho uvunjike tu! Mbona hatuna cha kupoteza! Na nyinyi mbakiwe na Visiwa vyenu vya karafuu.
Shida ni kwamba nyie ndio wenye kuung'ang'ania huo muungano, mpaka mwalimu nyerere kuamua kumuua mzee karume ili alinde maslahi yake anayoyapata kwenye muungano.

Hapa ni kusema kwamba, tanganyika wamenufaika zaidi na huo unaoitwa muungano, kwa sababu wazanzibari walitaka kujitoa zamani kwenye uonevu huu.

 
Shida ni kwamba nyie ndio wenye kuung'ang'ania huo muungano, mpaka mwalimu nyerere kuamua kumuua mzee karume ili alinde maslahi yake anayoyapata kwenye muungano.

Hapa ni kusema kwamba, tanganyika wamenufaika zaidi na huo unaoitwa muungano, kwa sababu wazanzibari walitaka kujitoa zamani kwenye uonevu huu.

View attachment 2126205
Mumeona haitoshi kuinyonya mamlaka Zanzibar mpaka mukaufanya muungano kuwa vita ya kidini.
 
Hivi karibuni, kuna taarifa zilizowekwa wazi kwenye baadi ya vyombo vya habari, juu ya mgawanyo wa mikopo ya nje, kati ya Tanzania bara na Zanzibar.

Mkopo wa pesa ya Uviko 19, tunaambiwa Zanzibar ilipata 21%. Mkopo wa kutoka Japan, tunaambiwa Zanzibar imepata 30%.
Mwaka huu ndio mtajua hamjui! Mgao ni kati ya Tanzania na Zanzibar. Hakuna kitu inaitwa Tanganyika kwa sasa, Tanganyika iendelee kujificha kwwnye koti LA Muungano, naona tayari lishaanza kumbana anatoa sauti sasa. Hata bado had I kufikia 2030 Lazima Tanganyika itaomba poo kwa Zanzibar.
 
Weka hapa huo mkataba wa Muungano.Pili unaelewa maana ya kero za Muungano? Na je mkataba ni biblia au msahafu?

Mwisho Zanzibar sio Mkoa ni Nchi na pia ni sehemu ya JMT kwa hiyo ina haki zote na tena haki zaidi ya Mkoa.
Kama ni nchi basi mkakope nyie sio kutumia tanzania
 
Back
Top Bottom