Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Mtu mmoja huyoWatu wawili tofauti kwa kila kitu, kuanzia pua, mashavu, midomo nk.
Watu wanakomalia upuuzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu mmoja huyoWatu wawili tofauti kwa kila kitu, kuanzia pua, mashavu, midomo nk.
Watu wanakomalia upuuzi.
unajibu kikamandoo siyo kimadafu madafu broYule sio mimi.
Kwa nini uliigiza kuuza madafu ukiwa mchafu mchafu hivyo? Kwa ufupi mwamba ulikuwa unanuka jasho ndiyo maana siku ile mimi nilikupita tu wala sikutaka kununua dafu lako!Kazi yangu ya kusukuma baiskeli ikiwa na madafu ni mazoezi tosha.
Mi ni mwanaume lazima ninuke jasho ila Yule sio mimi.Kwa nini uliigiza kuuza madafu ukiwa mchafu mchafu hivyo? Kwa ufupi mwamba ulikuwa unanuka jasho ndiyo maana siku ile mimi nilikupita tu wala sikutaka kununua dafu lako!
Kama mapacha
Huyo simjui ila yule sio mimi.Kariakoo ilovyoungua kuna mtu alifungua id akawa anajiita moto wa Kariakoo. Eti siku ile niliwaka sana
Sisi sio Mapacha.Kama mapacha
Yule sio mimi.unajibu kikamandoo siyo kimadafu madafu bro
Ulimaanisha nini kusema "ukija bila guard ntagawa wastani kwa idadi"Kumekuwa na mjadala mkubwa kama yule ni mimi au sio Mimi.
Nimekuja mbele Yenu wa JF ili nijibu hoja na maswali yenu. Ila yule sio mimi.
Karibuni kwa maswali.
Uza madafu Acha ubwegeKumekuwa na mjadala mkubwa kama yule ni mimi au sio Mimi.
Nimekuja mbele Yenu wa JF ili nijibu hoja na maswali yenu. Ila yule sio mimi.
Karibuni kwa maswali.
Hayo madafu yenyewe unayouza yako wapi sasa! Tuwekee na humu ili tununue. Au huwa unawauzia watu wa Ikulu tu!!Mi simjui ila mi nauza madafu tu.
Madafu nauza kwa kila mtu.Hayo madafu unayouza yako wapi sasa! Tuwekee na humu ili tununue. Au huwa unawauzia watu wa Ikulu tu!!
Sawa ila mi sio KomandoUza madafu Acha ubwege
Hao ni mtu mmoja wasituchanganyeKama mapacha
Usilazimishe. Yule sio mimi.Hao ni mtu mmoja wasituchanganye
Ndio, ninayo.Una madafu apo ...niko sinza madukani unafanya delivery?