KAGAMEE
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 4,457
- 5,454
Wakuu poleni na majukumu ya siku ya leo. Nimekuwa nikifatilia mienendo ya wanafunzi wetu pindi wanapokuwa likizo nikajiridhisha kuwa watoto wengi wanaingizwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na wanaume wasio waadilifu. Kipindi hiki kuna wanafunzi waliomaliza Kidato cha Sita mtaani, wapo waliomaliza kidato cha nne (Pre-form five).
Lipo pia kundi lingne kuanzia chekechea mpka kidato cha tano wanakuja mtaani (likizo ndefu). Nawaomba sana hasa wanaume kuwatunza vema wanafunzi wetu hasa mabinti, kumbukeni sheria kali zilizopo. Usikubali kwenda jela kwa raha ya mda mchache maana JAIL IS REAL.
Akina mama pia wamekuwa na hulka ya kuwarubuni watoto wa kiume na kufanya nao mapenzi (kuwaharibu kisaikolojia) naomba mbadilike term hii jamani mnaharibu Taifa la Kesho. Kwa kufanya hivyo mnawapa kazi kubwa sana walimu pindi shule zinapofungulia.
Mara kusolve kesi za mimba, mara kesi za mahusiano n.k. Kumbukeni mtoto analelewa na jamii nzma, future yake ipo mikononi mwa kila mmoja wetu. Unapowatongoza unahalilisha kuja kuwa na Taifa la WADANGAJI, MALAYA WALIOKUBUHU ambao hawawezi kujenga hoja za kutatua changamoto hata za familia.
Nipo kwenye hatua za mwisho kuandika barua kwenda kwa Rais kuhusu kuongeza adhabu kwa wazinzi, washenzi wote wanaotembea na wanafunzi either wa kiume au wa kike. Pia, nitamshauri Rais aweke gereza maalumu la washenzi wa aina hiyo ili wawe wanateswa vizuri vizuri.
JAIL IS REAL, TAKE CARE.
Lipo pia kundi lingne kuanzia chekechea mpka kidato cha tano wanakuja mtaani (likizo ndefu). Nawaomba sana hasa wanaume kuwatunza vema wanafunzi wetu hasa mabinti, kumbukeni sheria kali zilizopo. Usikubali kwenda jela kwa raha ya mda mchache maana JAIL IS REAL.
Akina mama pia wamekuwa na hulka ya kuwarubuni watoto wa kiume na kufanya nao mapenzi (kuwaharibu kisaikolojia) naomba mbadilike term hii jamani mnaharibu Taifa la Kesho. Kwa kufanya hivyo mnawapa kazi kubwa sana walimu pindi shule zinapofungulia.
Mara kusolve kesi za mimba, mara kesi za mahusiano n.k. Kumbukeni mtoto analelewa na jamii nzma, future yake ipo mikononi mwa kila mmoja wetu. Unapowatongoza unahalilisha kuja kuwa na Taifa la WADANGAJI, MALAYA WALIOKUBUHU ambao hawawezi kujenga hoja za kutatua changamoto hata za familia.
Nipo kwenye hatua za mwisho kuandika barua kwenda kwa Rais kuhusu kuongeza adhabu kwa wazinzi, washenzi wote wanaotembea na wanafunzi either wa kiume au wa kike. Pia, nitamshauri Rais aweke gereza maalumu la washenzi wa aina hiyo ili wawe wanateswa vizuri vizuri.
JAIL IS REAL, TAKE CARE.