Muwaache wanafunzi waliorudi likizo, msiwarubuni kimapenzi

Muwaache wanafunzi waliorudi likizo, msiwarubuni kimapenzi

Siku hizi watoto wengi wa kike wa shule hawajatulia.
Uwezekano wa mtu nzima kusingiziwa mimba ni 85%
 
Ni vigumu sana kumpangia binadamu matumizi ya sehemu zake za siri..

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Hiyo aibu huwezi ukaisitiri. Sisemi mengi. Kwa sababu huwezi ukajitetea kwa lolote!
Maana yake ni kwamba ulilala naye.

Uwe ulitumia kinga ama la, suala ni : "ulilala naye" Aibu sana mbele ya watu wastaarabu

ni;
 
Hiyo aibu huwezi ukaisitiri. Sisemi mengi. Kwa sababu huwezi ukajitetea kwa lolote!
Maana yake ni kwamba ulilala naye.
Uwe ulitumia kinga ama la, suala ni : "ulilala naye" Aibu sana mbele ya watu wastaarabu

ni;
Kwenye hii jamii ya sasa kutafuna mademu wengi ndio sifa ni ngumu kushinda hiyo vita.
 
Kama kuna kipindi muhimu kwa malezi ya mtoto wa kike basi ni hiki.Akionjwa tu katika umri huu basi hashikiki.
Tunahitaji kuwa nao karibu na kuwaonyesha upendo(hasa sisi WABABA). Tujiandae kisaikolojia.

Hongereni wazazi/walezi wote mnaowavusha salama binti zenu katika kipindi hiki
 
Niambie mwanao anapatikana wapi nije nimpe pongezi ya kufika umri wa kuonja Raha ya Dunia.
 
Madent wenyewe hawajatulia nowdayz we fikiria watt wanarud shule wakiskia singeli wanainama wanakatika sometime vituon huwa wanasubiri magari yny mziki ndo wapande. Uku nilipo kuna eneo uwa wanatega kabisa mida ya saa1 kwenda mbele wanajinadi kwa wanunuaj ila mpk uwe mjanja kuwajua hii nmemckia mzee m1 hv majuz anasema anaendaga kuvila, Om Napo kuna hao wawil wanatoka kwao kurudi saa6 uck mama yao anawafungulia mlango wanalala ni wasichana hao m1 wameacha shule sahv.
 
Back
Top Bottom