tajiri tumbo kubwa
JF-Expert Member
- May 27, 2021
- 429
- 567
kweli kabisa,usitishe watu huyu mleta mada.mtu amefika form 4 au 6 ni over or almost 18 and over so they are adults, na wengi wanafanya mahusiano na hao wanafunzi wenzaSawa tumekuelewa ila tusitishane tafadhali.
Hongera mkuu! maana kwa jinsi tunajibana ili hawa wasome halafu mabazazi wanawaharibu inaniuma.Nimeshaachaga mkuu. Maisha ya uraiani ni matamu sana.
Kabisa mkuu.Hongera mkuu! maana kwa jinsi tunajibana ili hawa wasome halafu mabazazi wanawaharibu inaniuma.
Stopping envincing your fatuous brother.Sawa mkuu binafsi nimekuelewa ila sasa mkuu tukihitaji wewe uwe mbadala wao utatukubalia kweli?
Tunajua kama mnawala,ila tunatiana moyo wazazi japo tuwakoe
Amini kaka, tumekusikia
Mimi nawaulizaga mambo yangu utayaweza..?, Maana nikijibu poa nimemlaUnataka matusi na kudharirishwa hapo sasa. Kwanza uwezi jua kama ni mwanafunzi pili yeye vinajidai kubehave kama viwatu vizima, salamu utasikia "mambo" au "mambo we kaka" wakat ukikaangalia umekapita age kama miaka 10
Yule binti wa diwani aliishiaje..?Ndio maana nataka nikutane nae nimpatie zawadi ya kiepe yai.
Huyo mzee anaishi wapi? Kama ni dar, basi ni sehemu gani?Madent wenyewe hawajatulia nowdayz we fikiria watt wanarud shule wakiskia singeli wanainama wanakatika sometime vituon huwa wanasubiri magari yny mziki ndo wapande. Uku nilipo kuna eneo uwa wanatega kabisa mida ya saa1 kwenda mbele wanajinadi kwa wanunuaj ila mpk uwe mjanja kuwajua hii nmemckia mzee m1 hv majuz anasema anaendaga kuvila, Om Napo kuna hao wawil wanatoka kwao kurudi saa6 uck mama yao anawafungulia mlango wanalala ni wasichana hao m1 wameacha shule sahv.
Upo dar sehemu gan ww kwnz?Huyo mzee anaishi wapi? Kama ni dar, basi ni sehemu gani?
Nipo BuguruniUpo dar sehemu gan ww kwnz?
Uyo mzee yupo chamaziNipo Buguruni
DaaaaaaaaaaaaaahUyo mzee yupo chamazi