Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Hapo hakuna mwanamke atakayekataa na nyinyi wapenda sana pesa huwa tunawapiga hit and runKwenye pesa hapo sichomoi
Sisi wenyewe huwa tunazipenda pesa zetu pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo hakuna mwanamke atakayekataa na nyinyi wapenda sana pesa huwa tunawapiga hit and runKwenye pesa hapo sichomoi
Ndio hapo Sasa....🤣🤣🤣🤣🤣 Mbwa kauza sura sana kwenye hii video, halafu mbona huyu Video vixien anarambana na Mbwa?
🥱🥱🥱
NaziombaHapo hakuna mwanamke atakayekataa na nyinyi wapenda sana pesa huwa tunawapiga hit and run
Sisi wenyewe huwa tunazipenda pesa zetu pia
Njoo PmNaziomba
Sitaki nipe hapaNjoo Pm
Ukimuwazia mazuri unakutana sms ya ukali umemuuliza vizur tu umefika kazini anakujibu ulikuwa unatakaje embu niache
Utashindwa kumuwazia mabay
Mimi ukinijibu vibaya mara tatu sikutafutiIlifika level hiyo kuna tatizo, either unalijua au ambalo hulijui. Sasa hilo ambalo hulijui ndio unapoingia kati na kuuliza, kiburi kikizidi kula kimya mpaka akutafute mwenyewe. Kikizidi zaidi eject
So uko naye?Mi nimemwazia mazuri tu afu hakuna baya kawahi nifanyia😜
Mimi ukinijibu vibaya mara tatu sikutafuti
So unataka uwe single kwa Sasa au milele?Niwe nae wapi,Sina mtu sitaki mtu🤒
To yeye ,Asante nishapoa nakumbuka zile moments nzuri tulizofanya pmj,kilicho Baki ni kumuombea aendelee kupumzika salama,🙏Maskini...pole sana
Bado mingapi kufika 40?Nikifika 40 nitapenda tena
Hapa nimekuelewa.
Kumbe mdogo hiviNikifika 40 nitapenda tena