Muwekezaji kutoka Tanzania bara apigwa stop kuanzia January

Muwekezaji kutoka Tanzania bara apigwa stop kuanzia January

hivi mnajua historia yenu wazanzibar mmetokea huku ndio mana kila unayemuuliza ana historia ya bara tukiwaachia waarabu watakuja kuwatandika viboko kulipizua mapinduzi ila nyie ni sawa na wilaya tu ya geita huku bara
Hata kama ingekuwa sawa na kitongoji lakini ilikuwa inajiweza. Unajua kama waarabu walitangaza kuwa Zanzibar ndio mji mkuu wa nchi iitwayo Oman? Wazungu uko kwenu kazi yao ilikuwa kuwatuma kama punda tu, walijua kuwatumikisha na kuchukua mali zenu.

Na hata kama tumetoka huko, lakini ndio tumesttle huku sasa na tunajinasibisha na Uzanzibari...
 
School inaitwa Eden International School na Sio St. Eden wala Eden Seminary
Matokeo yao ya juzi haya hapa form two Muslim wapo wengi zaid ya Christians [emoji116].

Francis Maria iliopo Zanzibar ni shule ya Waroman lkn na Muslims wanasoma, wanaotaka kuvaa hijab wanavaa na kuswali wanaswali.

Zanzibar utakuta mwanamke anavaa baibui na hijab na ni Christian wala huwezi kumjua. Ipo katika ustaarab, na wanaojielewa hupenda wakienda pahali kufuata ustaarab wanaokutua hasa hasa ikiwa hakuna kuvunja sheria na hakuna madhara.
Screenshot_20220105-202804_Samsung%20Internet.jpg
Screenshot_20220105-202656_Samsung%20Internet.jpg
 
School inaitwa Eden International School na Sio St. Eden wala Eden Seminary
Matokeo yao ya juzi haya hapa form two Muslim wapo wengi zaid ya Christians [emoji116].

Francis Maria iliopo Zanzibar ni shule ya Waroman lkn na Muslims wanasoma, wanaotaka kuvaa hijab wanavaa na kuswali wanaswali.

Zanzibar utakuta mwanamke anavaa baibui na hijab na ni Christian wala huwezi kumjua. Ipo katika ustaarab, na wanaojielewa hupenda wakienda pahali kufuata ustaarab wanaokutua hasa hasa ikiwa hakuna kuvunja sheria na hakuna madhara. View attachment 2069848View attachment 2069849
Hivi ustaarabu maana yake nini?
 
Hata kama ingekuwa sawa na kitongoji lakini ilikuwa inajiweza. Unajua kama waarabu walitangaza kuwa Zanzibar ndio mji mkuu wa nchi iitwayo Oman? Wazungu uko kwenu kazi yao ilikuwa kuwatuma kama punda tu, walijua kuwatumikisha na kuchukua mali zenu.

Na hata kama tumetoka huko, lakini ndio tumesttle huku sasa na tunajinasibisha na Uzanzibari...
naona unawaabudu sana waarabu ha ha ha ha umekua brain washed waambie hao wa oman haitatokea iyo nchi ikaachiwa na bara ndio imetoka iyo na saizi tuna mkakati tunatia mimba watoto wa kizanzibar ili kufuta iyo genration inayodai kuvunja muungano
 
naona unawaabudu sana waarabu ha ha ha ha umekua brain washed waambie hao wa oman haitatokea iyo nchi ikaachiwa na bara ndio imetoka iyo na saizi tuna mkakati tunatia mimba watoto wa kizanzibar ili kufuta iyo genration inayodai kuvunja muungano

Unaonekana ni m2 mwenye chuki sana kwa waarabu. Kwa taarifa yako hakuna jamii yoyote duniani watu wake karimu na wenye imani, ustaarabu na roho nzuri kama waarabu, ila wachache wana mapungufu yao kama binadamu ama jamii zingine,,,but %kubwa wako poa.


Hahhaaa alafu eti "haitatokea iyo nchi ikaachiwa na bara" mbona waoga ivyo!!!!! Kwahiyo mnapenda kuona wanaishi maisha ya tabu ndiuo furaha kwenu eti? Kwamba Ndiyo hofu yenu mkiwaachia watapata sapoti kubwa toka kwa waarabu wataijenga, uchumi utakuwa kwa kac na kila mwananchi ataneemeka.


Ushauri wangu kwako n others acheni ubinafc na roho mbaya.

Mimi nifrom bara na co mzanzibari mzehe, upo hapo!!!!!!!
 
naona unawaabudu sana waarabu ha ha ha ha umekua brain washed waambie hao wa oman haitatokea iyo nchi ikaachiwa na bara ndio imetoka iyo na saizi tuna mkakati tunatia mimba watoto wa kizanzibar ili kufuta iyo genration inayodai kuvunja muungano
Naona sie ndio tunawatia mimba nyie. tena mlivowepesi mkiona mmepata basha wa kizenji huwa mnafanywa vyovyote. Mnataka mbegu wenyewe mnasema 😀
 
Back
Top Bottom