Muwekezaji kutoka Tanzania bara apigwa stop kuanzia January

Muwekezaji kutoka Tanzania bara apigwa stop kuanzia January

Yani wale wa babu walituingiza chaka Sana. Hawa wazanzibar ni kama tunawalazimisha kwenye huu Muungano wa michongo, ili hali inatugharimu sisi watanganyika kwa koti la Tanzania.

[emoji817][emoji817][emoji817][emoji817][emoji817]Tanganyika ingekua ya waarab usingesikia haya mambo nikwasababu ni black people na wenyewe wanajikuta waarabu what do you expect haha
 
Wewe ndio uone aibu kwa kukosa elimu na maarifa
School kiingereza kiswahili ni skuli
Schule kijeruman kiswahili ni while
Tanganyika wametohoa kijerumani Zenji wametohoa kiingereza
Mfano mwingine Zanzibar wana marikiti kwa maana ya market kiingereza na bara Wana tumia sokoni kw maana ya souk kiarabu
Acha povu kubalini yaishe Zanzibar elimu dunia kwenu hajawahi kuwa kipaumbele
 
Kinachosumbua hapo ni udini

Sekta ya elimu inatakiwa kuwa huru mfano Tanzania bara ni hiari ya shule kufundisha masomo ya Dini au kuyaacha kabisa.

Za private ziko Muslim schools na Christian schools.

Mtu alienda Muslim schools anakutana na ya kiislamu kibao kuanzia kuvaa hizo hijabu nk akienda Christian schools atasali kikristo nk Na wazazi huridhika

Zanzibar hicho kinafanyika ni kutaka kulazimisha mwenye Shule ageuze shule kwa lazima iwe Muslim school

Zanzibar mbona Muslim schools ziko kibao wazazi wapeleke watoto wao huko huo ni ukorofi usio na sababu mtu kafungua Christian school yake kwa Nini umkomalie kuwa lazima iwe Muslim school.

Hii ichukuliwe kama kero ya muungano.Ichukuliwe wazi kabisa kuwa huyo mwenye shule ananyanyaswa kidini

Raisi Mwinyi aingilie kati Hilo swala haraka
Labda serikali ya Zanzibar inatoa ruzuku kwa shule binafsi
 
Nyinyi watanganyika hemu acheni tabia zenu za kibishi bishi mnavokuja kuweleza huku visiwani. Zanzibar tuna ustaarabu wetu kwaio mkija huku muwe mnakuja na adabu zenu
Acha kuongea umavi huo kwahiyo na nyie mkija bara muwe na adabu utaona mnatupa mikanzu na nikabu zenu mnang'ang'ania suti na mademu zenu jeans 😁😁😀😀😃😃 mnaacha vyenu mkivuka tu bahari
 
Nyinyi watanganyika hemu acheni tabia zenu za kibishi bishi mnavokuja kuweleza huku visiwani. Zanzibar tuna ustaarabu wetu kwaio mkija huku muwe mnakuja na adabu zenu
Nonsense, ustaarabu gani mlionao?
 
Siku moja nipo zanzibar naona kundi kubwa la watoto wa shule wamezagaa forodhani na walimu wao wamejikumbiliza hijab na bus la shule limepaki pale... kuuliza eti wanafunzi wa boarding wameletwa kula urojo
 
Siku moja nipo zanzibar naona kundi kubwa la watoto wa shule wamezagaa forodhani na walimu wao wamejikumbiliza hijab na bus la shule limepaki pale... kuuliza eti wanafunzi wa boarding wameletwa kula urojo
Shida ipo wapi hapo...unaishi kwa complications zisizo na mashiko.
 
Sasa hiyo si ni Private school!!!!!!! Sasa kwani hao wazee walilazimishwa watoto wao wasome hiyo shule? Mambo mengine ni ya ovyo kabisa.
 
Huyo eden nae ni tatizo.
analetaje jeuri ugenini si afuate tu sheria, itamgharim nin.

Ni kweli mmiliki ni mkristu.lakn watoto ni both, wakristo na waislamu (in large number)

Aruhusu dini zote zifundishwe.hata na wao hawajakataa mafundsho ya kikristo kwa watoto walengwa.

Ada kupaa kiholela nalo ni tatizo..kwanza shule ya dini haipaswi kuwa too profit oriented.

Japo mimi sio muislam.lakn nakubaliana na hoja za wenyeji.
 
Nyinyi watanganyika hemu acheni tabia zenu za kibishi bishi mnavokuja kuweleza huku visiwani. Zanzibar tuna ustaarabu wetu kwaio mkija huku muwe mnakuja na adabu zenu
Jina la mwenye shule kama la kichina hivi, Acha ubaguzi!
 
Mi mwenyewe huwa nashangaa mnavyotung'ang'ania. Mliwafunga watu miaka mingi bila ushahidi 😀 kisa tu wanasema zanzibar kwanza. Wazanzibar walikwisha ukataa huu Muungano kitambo tu tena kwa kusema wazi wazi kwenye majukwaa, nyie mmefanya nini zaidi ya kuwa Keyboard warriors 😀
Mkivunja muungano mtajuta majuto makuu
 
Samahani naomba kuelewa hivi suala la elimu msingi kidato cha 1-4 halipo ktk Muungano? Na je kama halipo kwanini kipindi fulani Dr. J. Ndalichako alifungia shule za Zanzibar kwa sababu ya udanganyifu? Hili suala sikulielewaga vizuri yoyote mwenye uelewa anijuze tafadhari.

ALifutia matokeo hakufungui, Kwa kifupi Wana ushirikiano kwenye masuala ya mitihani ya kidato cha nne na tena ni hiari kwa maana makubaliano ila sio takwa la kisheria.
 

aleesha


Acheni kushabikia mambo ya kipuuzi

"Ameyataja baadhi ya malalamiko hayo ni pamoja na Wanafunzi wa kislam kutosomeshwa somo la dini ya kislaam na kiarabu, kulazimishwa kujifunza dini ya kikiristo, kutotakiwa kufunga katika mwezi mtukufu wa Ramadhan na Wanafunzi kutoruhusiwa kuvaa hijabu."
 
Nyinyi watanganyika hemu acheni tabia zenu za kibishi bishi mnavokuja kuweleza huku visiwani. Zanzibar tuna ustaarabu wetu kwaio mkija huku muwe mnakuja na adabu zenu
Ustaarabu upi unao uongelea? Huu ulioletwa na waarabu enzi za utwana na utumwa?
 
"Ameyataja baadhi ya malalamiko hayo ni pamoja na Wanafunzi wa kislam kutosomeshwa somo la dini ya kislaam na kiarabu, kulazimishwa kujifunza dini ya kikiristo, kutotakiwa kufunga katika mwezi mtukufu wa Ramadhan na Wanafunzi kutoruhusiwa kuvaa hijabu."

sasa si wabadilishe shule tu, au wanalazimishwa kusoma hapo? hio ni private school sio ya serekali.
 
Back
Top Bottom