Muziki kutoka nchini Zaire (sasa ni D.R.C) uliwezaje kutamalaki na kupendwa sana hapa Tanzania ilhali tumepakana na jirani wengine takribani 6?

Hivi baruti nayo kumbe ni silaha inayoua?mimi nilikuwa nafikiri kazi ya baruti ni kitishia watu mitaani kwa ule mlio wake ikipigwa sikujua kama inatumika kama silaha
 
Tuendeleeni na madhumuni ya huu Uzi jamani. Mambo mengine binafsi mwende Inbox. Kila mtu akianza hapa kujielezea yeye na issue zake hata hatutafanikiwa lengo la uzi. Tuleteane hbr za Music wa Congo.
 
DRC, batoto ba Congo.......Mobutu ama (Kuku mbengu wa Zabanga), ni kweli alichukia sana mambo ya kuiga umangaribi, lakini hapo hapo akawa anatamani sana maisha ya Kifaransa!...baada ya kuwaambia bana ba congo kuacha majina ya kikoloni kama vile Franco ama Rochereau...ambao wakati huo ndio walikua wakali wa muziki, Majina ya kabakia Luambo Luanzo Makiadi na Tabu Ley.

Mobutu kapiga kampeini kubwa sana ya kuondoa Ukoloni mambo leo , ndio mpaka sasa Congo Drc kuna Dini na kanisa la ki itikadi ya Kiafrika inayoitwa 'Kimbangiste'..... Makanisa yalibaki kufunza vijana kupiga muziki.....vile vile kwa vile walitawaliwa na Wafransa, kuna kitu kinaitwa ''Assimilation" yaani kuigiza aliekuteka mpaka ufanane nae...ilibidi watafute vyombo na machine za kurecodi za hali ya juu sana, ndipo unaona ngoma zao nyingi ni kali mpaka kesho...rekoding either Paris , belgium ama Us!
 
Franco anajua sana kupiga Gitaa mzee baba...
 
Excelent
 
Kimpa kimsangameni nyimbo tamu mno ya mwaka 1976
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…