Kesho nitaweka kwenye you tube mmoja baada ya mwingine, kuna rhumba moja huwa naitafuta but sijui jina lake, hope nitaibahatisha hapaMário,pesa position,mamuu,bina na ngai,kimpa kimsangameni,Fabrice ,muya, bureau de coers, attention na sida,candidate de mobutu,Helene,colonel bangala,fc 105 du Gabon,matata ya mwasi, cooperation odongo,1200 letters,lisolo ya Nzambe na Adamo,liberte, republique du Zaire,azda,muongo na mulozi,
Kuna dada mmoja anaitwa MPONGO LOVE anajua sana kuimba. Jaribu kutafuta wimbo mmoja unaitwa NDAYA sikiliza kisha hutajutia MB zako.Kesho nitaweka kwenye you tube mmoja baada ya mwingine, kuna rhumba moja huwa naitafuta but sijui jina lake, hope nitaibahatisha hapa
Mário,pesa position,mamuu,bina na ngai,kimpa kimsangameni,Fabrice ,muya, bureau de coers, attention na sida,candidate de mobutu,Helene,colonel bangala,fc 105 du Gabon,matata ya mwasi, cooperation odongo,1200 letters,lisolo ya Nzambe na Adamo,liberte, republique du Zaire,azda,muongo na mulozi,
[emoji106]umetisha mzee baba
Marehemu mpongo love alipitia Tp okk jazz ya Franco mwaka 1977,alifariki 1994Kuna dada mmoja anaitwa MPONGO LOVE anajua sana kuimba. Jaribu kutafuta wimbo mmoja unaitwa NDAYA sikiliza kisha hutajutia MB zako.
Rhumba huwa Ni nzuri mnooKesho nitaweka kwenye you tube mmoja baada ya mwingine, kuna rhumba moja huwa naitafuta but sijui jina lake, hope nitaibahatisha hapa
Tena saaanaRhumba huwa Ni nzuri mnoo
Huo wimbo wake wa Ndaya ninaupenda sana kuusikiliza nikiwa nipo na sweetheart wangu.Marehemu mpongo love alipitia Tp okk jazz ya Franco mwaka 1977,alifariki 1994
Umesahau Ngungi (mbu) by Franco and Tabuley!!.nilienda Likasi miaka fulani ulipgwa ule wimbo "Wakongo walilia machozi !!Aah Kinshasa Makambo!!!umetisha mzee baba
Huu wimbo ninao pia katika laptop yangu mkuuUmesahau Ngungi (mbu) by Franco and Tabuley!!.nilienda Likasi miaka fulani ulipgwa ule wimbo "Wakongo walilia machozi !!Aah Kinshasa Makambo!!!
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Ee Ni wimbo wenye sauti nyororo iliyopangikaHuo wimbo wake wa Ndaya ninaupenda sana kuusikiliza nikiwa nipo na sweetheart wangu.
Kinshasa mboka makamboUmesahau Ngungi (mbu) by Franco and Tabuley!!.nilienda Likasi miaka fulani ulipgwa ule wimbo "Wakongo walilia machozi !!Aah Kinshasa Makambo!!!
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Safi sana mkuu. Enzi zile nilipokuwa bado ninapiga beer mziki huu ulikuwa unanipa sana ladha mkuuKinshasa mboka makambo
Asante kwa taarifaDaaah, umenikumbusha mbali saaana mkuu. Hao guitarists bado wapo hai mpaka sasa mzee baba.
Poa mzee babaAsante kwa taarifa
Mziki wao ni mzuri kiasi kwamba hata kama hufahamu kilingala ile lugha yao wanayo itumia ni lazima utafurahia tu na kama kungekuwa na Kombe la Dunia la Muziki basi DRC kila mara wangekuwa wanashinda wao tu na hilo Kombe kubaki huko huko kwao Milele.
Hakika mkuu...Mziki wao ni mzuri kiasi kwamba hata kama hufahamu kilingala ile lugha yao wanayo itumia ni lazima utafurahia tu
Hawa jamaa wanajua sana kuimba mkuuMuziki ni sauti linganifu zinazotoka katika mpangilio maalum,,, wakongo wameweza hapo.. huku majirani zao wakipiga kelele zaidi wakidhani ndio muziki... Ila sio wote ni baadhi tu..
Ni baada ya wakina AY na hasa Diamond kuiga iga nyimbo za hukoReal is always real.
Bora Zaire hapo ni karibu tuu, jiulize why mziki wa Nigeria umetamalaki hapa kwetu ilihali wao wako west sisi east?
Real is real.
Unforgetable