Muziki kutoka nchini Zaire (sasa ni D.R.C) uliwezaje kutamalaki na kupendwa sana hapa Tanzania ilhali tumepakana na jirani wengine takribani 6?

Muziki kutoka nchini Zaire (sasa ni D.R.C) uliwezaje kutamalaki na kupendwa sana hapa Tanzania ilhali tumepakana na jirani wengine takribani 6?

KWANZA, kiilingala ni lugha inayovutia katika kuimba.

PILI, mkongo akiongea au kuimba kwa kutumia lugha ya kifaransa utanogewa anavyotamka maneno kwa lafudhi yao

TATU, waimbaji wa Zaire hawakuwa waimbaji tu ila walikuwa wapiga vyombo wazuri sana

NNE, wakongo wana asili ya sauti nzuri na wamewaambukiza pia watu wa kigoma, ukimsikiliza Ali Kiba, Diamond, Mwasiti, Upendo Nkone, Chege wamejaaliwa sauti nzuri

TANO,, Wakongo tangu kabla ya Uhuru wanapenda muziki haswaaa, yaani ni ufahari kwa mkongo kujipamba na kuimba hata asipohangaika na madini yao au Mbao inayovunwa na kuibiwa kila siku

Mkongo ajue kuimba vizuri umsifie halafu akishafika Parii (Paris) basi ameshafika hataki mengine.

Kwa mfano, ukisikiliza beat ya nyimbo zenye ujumbe za

Franco wa ''MAMOU'' na ''MARIO''

Tabuley wa ''MUZINA'' au

Madilu wa ''Ya Jean''

Kwani utataka hata kusikiliza kelele za wabongo?
 
KWANZA, kiilingala ni lugha inayovutia katika kuimba.

PILI, mkongo akiongea au kuimba kwa kutumia lugha ya kifaransa utanogewa anavyotamka maneno kwa lafudhi yao

TATU, waimbaji wa Zaire hawakuwa waimbaji tu ila walikuwa wapiga vyombo wazuri sana

NNE, wakongo wana asili ya sauti nzuri na wamewaambukiza pia watu wa kigoma, ukimsikiliza Ali Kiba, Diamond, Mwasiti, Upendo Nkone, Chege wamejaaliwa sauti nzuri

TANO,, Wakongo tangu kabla ya Uhuru wanapenda muziki haswaaa, yaani ni ufahari kwa mkongo kujipamba na kuimba hata asipohangaika na madini yao au Mbao inayovunwa na kuibiwa kila siku

Mkongo ajue kuimba vizuri umsifie halafu akishafika Parii (Paris) basi ameshafika hataki mengine.

Kwa mfano, ukisikiliza beat ya nyimbo zenye ujumbe za

Franco wa ''MAMOU'' na ''MARIO''

Tabuley wa ''MUZINA'' au

Madilu wa ''Ya Jean''

Kwani utataka hata kusikiliza kelele za wabongo?
Usisahau Madilu "Aminata" huu wimbo haupiti siku bila kuusikiza..

Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
 
Usisahau Madilu "Aminata" huu wimbo haupiti siku bila kuusikiza..

Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
[emoji445]
SmartSelect_20201222-191428_Poweramp.jpg


Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu, au wewe ndiye yule anayejiita Manji wa Muziki kule TBC FM (Radio Tanzania)?
Hapana -yule ni Masoud Masoud wa siku nyingi. Mimi ni shabiki wa OK Jazz na TP OK Jazz kuanzia enzi za Polo (Franco) na Bolingo ya Bougie (Kwamy). Enzi hizo ni RTD idhaa ya Biashara.
 
Wadau hebu naomba mniambie huyu jamaa wa kuitwa Tcha-tcho Mbala Kashogi ni nani kwenye nyimbo kama associe ya Fally, Amita ya Madilu na hata nyimbo nyingi za Koffi hasa kwenye album yake ya V12 anamtaja.

Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
 
Historia ya uwekezaji!

Enzi za Mobutu,nadhani alihitafiliana na ukristo,ambao ulienezwa na wabelgiji.
Aliamuru makanisa yatumike kama "Nyumba za kukuza tamaduni"..so ngoma na vionjo vya asili viliachwa,huku vya nje vikidharaulika,hii ilienda sambamba na hata majina,waliwapa watoto majina yenye maana zao,tofauti na sehem zingine ambapo ukristo ulishamiri mathalani..Tz,Kny na Ug.

So hata ukiona mambo ya ushirikina yameshamiri Huko,na mwambao wa ziwa Tanganyika,sio kitu cha kushangaza sana,kuna kuingiliana karibu sana kwa tamaduni kwasababu ya muingiliano wa jamii hizo..

Kuna jamii kule congo inaitwa "Wabembe"..."inasemekana "...wanakula nyama za watu...thts history in short..inaweza isiwe na sahihi saana kutokana na uwakilishaji!
Wabembe hawajawai kula watu
 
Wadau hebu naomba mniambie huyu jamaa wa kuitwa Tcha-tcho Mbala Kashogi ni nani kwenye nyimbo kama associe ya Fally, Amita ya Madilu na hata nyimbo nyingi za Koffi hasa kwenye album yake ya V12 anamtaja.

Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app

huyu jamaa nadhani ni mfanya biashara ya madini kama Almasi nk, sina uhakika sana lakini
 
Wadau hebu naomba mniambie huyu jamaa wa kuitwa Tcha-tcho Mbala Kashogi ni nani kwenye nyimbo kama associe ya Fally, Amita ya Madilu na hata nyimbo nyingi za Koffi hasa kwenye album yake ya V12 anamtaja.

Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
Huyo jamaa anaitwa Richard Tshasho Mbala, ndio jina lake na ni mtu mwenye mapesa na anayesupport sanaa mziki wa Kongo ni tajiri mfanyabiashara wa madini na huwa anataka usikike pote duniani kwahiyo akaanzishaga kama project hivi huko France akisema

''I support my culture'' akawaita wasanii wengi wa Congo kuimba, kifupi anavumisha mziki wa nyumbani

Ni dizain ya kina papaa msoffe au Lemakoo wanavyoimbwa.
 
Huyo jamaa anaitwa Richard Tshasho Mbala, ndio jina lake na ni mtu mwenye mapesa na anayesupport sanaa mziki wa Kongo na huwa anataka usikike pote duniani kwahiyo akaanzishaga kama project hivi huko France akisema

''I support my culture'' akawaita wasanii wengi wa Congo kuimba, kifupi anavumisha mziki wa nyumbani

Ni dizain ya kina papaa msoffe au Lemakoo wanavyoimbwa.
Umetisha mkuu... Umesomeka vyema kabisa

Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
 
mkuu tafuta hizi
Franco & Madilu - la leponse de mario
Madilu - pie mboyo
Madilu- sije saversa
Hizo za madilu zote ninazo mkuu... Ngoja nitafute hiyo colabo...

Nakulipa kwa

Faya Tess-Mongali
Reddy Amis-Rendez vous
Barbara Kanam-Lisanga ya ba mbanda
Bozi Boziana-Pere Noel de Confiance

Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
 
Wacongo walikua wanamuziki hawa wakwetu ni wasanii:mwanamuziki anajua kupga vyombo pamoja na kuimba,wasanii wenyewe wanajua kuimba ila kwny vyombo hakuna kitu
Sasaivi kijana akishapata mistari yake miwili mitatu na kachorusi ka kubambia...huyoooooo ananyoosha zake studio kuonana na prodyuza "amnyongee biti" mwisho wa wiki yupo hewan na wimbo mpya.

Ukiangalia vzuri nyimbo zenyewe hazina uo upya kiukweli ni full kukopi na kuungaunga kwa nymbo za wenzao hasa sauz au west afrika na bado utawaskia wanalialia walindwe na hatimiliki. No wonder unasikia hadi leo hakuna muzik wa apa kwetu.

Mtu akitoa wimbo ukabamba tu, kosa!! Utatolewa hizo remix km zoote. Kwangu hawa sio wanamuziki ni wasanii ambao ndani yake kuna waigizaj, wasusi, wanamichezo. Ukiangalia mtu km kofii yy kila mwaka anatoa kitu kipya na hamna cha remix ni nyimbo mpya OG na usizan atairudia tena ngoma hata iwe kali kivp anasonga mbele na nyimbo zngne kali zaidi. Hawa ndo wanamuziki.
 
Back
Top Bottom