Tetesi: MV CHATO Kuzinduliwa kabla ya mwaka 2020 Oktoba

Mkuu inakera kwa sababu ichi hii sehemu kibao watu wanateseka kwa kukosa maji safi na salama ya kunywa. Kwanini Londo la miradi isiyo na mashiko chato afu watu mnajitoa ufahamu ku support

Lazima baadhi wateseke ili wengi waendelee
 
Bora unawaza hivyo na nadhani inakutolea msongo wa mawazo! Ila kiuhalisia hiyo haiwezekani.
 
Tunakoma!
 
Acheni wivu wa kike kwa Chato , hapo Chato watakaa watanzania, mchukieni Muhusika ila sio wana Chato, Chato ni Tanzania sio Noukchott
Hili Jambo huwa nalishangaa Sana watu wanapiga kelele km vile chato ni Rwanda. Chato ni Tanzania na yakipatikana maendeleo huko still ni maendeleo ya Tanzania. Maendeleo yakifanyika Dar hawahoji na Wala hawaoni ajabu,
Mkapa alijenga daraja la Rufiji watu walilia Ivyo ivyo Leo tunaona faida zake. Msoga imejengwa Leo tunaona faida zake. Na chato ni hivyo ivyo
 

Kumridhisha mwanadamu ni kazi sana hasa Watanzania
 
Acheni wivu wa kike kwa Chato , hapo Chato watakaa watanzania, mchukieni Muhusika ila sio wana Chato, Chato ni Tanzania sio Noukchott
Naunga mkono hoja , ila ningeshauri ikulu ya magogoni ihamishiwe chato ili kuharakisha mji huo kukua
 
Mungu abariki hili jambo liwezekane!
 
chato mambo ni moto.....bado kutoboa mfereji mpana toka bahari ya hindi hadi CHATO ili iwe ni pwani na tujenge bandari ya kisasa kule na kivutio cha watalii toka ughaibuni.
 
Unawajua vizuri CCM mkuu?
 
mbona kama umeitengeneza
 
Mbwa wewe ! Watanzania gani watakaa chato? Mtu Wa mtwara ataenda kukaa chato Kwa shughuli ipi?
Kwanini kila kitu chato na isiwe kigoma? Au lindi? Chato kuna kipi cha muhimu kuzidi mbeya au mtwara?
πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…