Tetesi: MV CHATO Kuzinduliwa kabla ya mwaka 2020 Oktoba

Tuseme ameen
 
Ingia website ya NHC tu wasikiana nao kwa Simi ,email au Soma maelezo yao au nenda ofisi yeyote ya NHC popote Tanzania watakuelekeze waambie unataka kiwanja Chato .NHC Wana ofisi nchi nzima.
Asante
 
Aliyejenga Wembley ni nani?, au UN makao makuu kuwa New York ni nani? Tuache ushamba
Hivi mifano yako hii unaiona 'relevant' kwa mambo yanayoandikwa katika mjadala huu, au unaona wachangiaji wote hamnazo isipokuwa wewe peke yako?
 
Hivi mifano yako hii unaiona 'relevant' kwa mambo yanayoandikwa katika mjadala huu, au unaona wachangiaji wote hamnazo isipokuwa wewe peke yako?f

Katika majibu yote naona hili limekufikirisha sana
 
Ndio je,wewe ni Robot,kuna watu am sure wamekufa kwa kukosa dawa,wakati kuna jitu moja linaona likajenge uwanja wa mpira kwao...halafu unakuta mtu kama wewe una support huu upuuzi...lazima tukuulize kama una feelings

Naomba tuheshimiane Dada yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…