MV MWANZA " Hapa Kazi Tu" yashushwa Majini, ni furaha kuu Jijini Mwanza!

MV MWANZA " Hapa Kazi Tu" yashushwa Majini, ni furaha kuu Jijini Mwanza!

Sema CCM wametafuta ka-tukio kupunguza kasi ya mikutano ya vyama vya upinzani
 
johnthebaptist inabidi uweke na picha.

Ikianza kazi nenda katalii Bukoba
Hii hapa

USSR
Screenshot_20230212-120842.jpg
 
Tukio liko mubashara TBC

Watu ni Wengi sana sana kwa kweli hii ni Baraka

Wafuasi wa vyama wakiwa Ndani ya sare zao nao wapo CCM, Chadema na ACT Wazalendo

Mungu ni Mwema wakati Wote
Kaburi la watu hilo kwa linchi kama la kwtu! Wala siwezi kulifurahia. Bukoba residents have reservation
 
Sasa mkuu unaendaje kununua gari ilihali kila siku unaona ajari zinazotekea?
Issue ya gari ni personal na ni subject maintenance ya gari na mwenye gari! Meli ni public property ambayo inatia mashaka sana kwa Tanzania tulivyo na uangalifu wa vifaahivi!
 
Tukio liko mubashara TBC

Watu ni Wengi sana sana kwa kweli hii ni Baraka

Wafuasi wa vyama wakiwa Ndani ya sare zao nao wapo CCM, Chadema na ACT Wazalendo

Mungu ni Mwema wakati Wote
Tuletee picha mkuu
 
Back
Top Bottom