Mvua hii kubwa inayoanguka Dar ni ushahidi kuwa Mungu amemtia muhuri Lissu Oktoba 2025

Mvua hii kubwa inayoanguka Dar ni ushahidi kuwa Mungu amemtia muhuri Lissu Oktoba 2025

Taarifa ninazozipata kutoka ukumbini pale Mlimani City katika uchaguzi wa CHADEMA Taifa, ni kwamba Team Mabadiliko imeibuka kidedea.

Hii ni taarifa njema kwa Tanzania
Huu ni msiba kwa CCM

Hii mvua inayonyesha inanikumbusha zile nyakati zetu utotoni, kila event yenye baraka za Mungu lazima mvua ishuke.

Godbless Lema is a man of the match
Mvua hii nimeipa jina la Tundu Lissu mkuu.
 
Taarifa ninazozipata kutoka ukumbini pale Mlimani City katika uchaguzi wa CHADEMA Taifa, ni kwamba Team Mabadiliko imeibuka kidedea.

Hii ni taarifa njema kwa Tanzania
Huu ni msiba kwa CCM

Hii mvua inayonyesha inanikumbusha zile nyakati zetu utotoni, kila event yenye baraka za Mungu lazima mvua ishuke.

Godbless Lema is a man of the match
Ndugu Tlaatlaah njoo utie neno hapa.
 
Hata kipindi cha Mitihani, ikinyesha huo mtihani huwa ni rahisi.
Sema kuna mvua ilituogesha paper fulani hivi unagusa exam sheet inaloa pia. Kitu kilikomaa hicho hatukuamini
 
Vipi alivyopigwa risasi 16 na akapona? Hukuona ukuu wa Mungu kwake kwenye suala hili?

Au ndo sonona tu inakusumbua?
Mnavyoshangilia utadhani Lissu kuwa mwenyekiti ndio CDM itachukua nchi...
 
Screenshot_20250122_091043_X.jpg
 
Hii mvua ni machozi mbingu zinalia.

Je ni machozi ya furaha au machozi ya huzuni?

Time will tell
 
Back
Top Bottom