Mvua hii nimeipa jina la Tundu Lissu mkuu.Taarifa ninazozipata kutoka ukumbini pale Mlimani City katika uchaguzi wa CHADEMA Taifa, ni kwamba Team Mabadiliko imeibuka kidedea.
Hii ni taarifa njema kwa Tanzania
Huu ni msiba kwa CCM
Hii mvua inayonyesha inanikumbusha zile nyakati zetu utotoni, kila event yenye baraka za Mungu lazima mvua ishuke.
Godbless Lema is a man of the match
Ndugu Tlaatlaah njoo utie neno hapa.Taarifa ninazozipata kutoka ukumbini pale Mlimani City katika uchaguzi wa CHADEMA Taifa, ni kwamba Team Mabadiliko imeibuka kidedea.
Hii ni taarifa njema kwa Tanzania
Huu ni msiba kwa CCM
Hii mvua inayonyesha inanikumbusha zile nyakati zetu utotoni, kila event yenye baraka za Mungu lazima mvua ishuke.
Godbless Lema is a man of the match
Mnavyoshangilia utadhani Lissu kuwa mwenyekiti ndio CDM itachukua nchi...Vipi alivyopigwa risasi 16 na akapona? Hukuona ukuu wa Mungu kwake kwenye suala hili?
Au ndo sonona tu inakusumbua?
atahusishwa kwenye nini maana watawala hutawala kwa sababu Mungu yeye anatawalaAcha kumuhusisha Mungu kwenye siasa...
wewe utakuwa live tbcHayo matokeo mmeyapata wapi? Mbona tuko live na bado hawajatangaza
Vipi alivyopigwa risasi 16 na akapona? Hukuona ukuu wa Mungu kwake kwenye suala hili?
Au ndo sonona tu inakusumb
Hayo ya Mungu Mkuu. Ya wajumbe tayari😄Mnavyoshangilia utadhani Lissu kuwa mwenyekiti ndio CDM itachukua nchi...
Hukunielewa mkuu nilimaanisha " Una water?" Yani una maji?
Hiyo no ishara tundu amekubaliwa na anga la Tanzaniani anga lote la tanzania mvua tu
Kwenda huko!! Huku Moshi jua linawaka !ni anga lote la tanzania mvua tu