Ni mvua kubwa ila sio Elnino mkuu..Moja kwa moja..
Katika kipindi cha miaka kumi Dar sijawahi kushuhudia mvua kama iliyopiga siku mbili hizi haswa ya leo ndio bab kubwa sehemu nyingi maji yamejaa sana.
Tukirudi nyuma wakati tahadhari zinatolewa na TMA wabongo wengi mitandaoni na mitaani walikuwa wanabeza sana na wengine kuleta dhihaka, sasa kwa hali inayondelea bado wale waliokuwa wanabeza na kudharau wanashikilia misimamo yao ?View attachment 2801355
View attachment 2801356
View attachment 2801357
Wabongo tupende kuamini vya kwetu..
#UziTayari
Wazee tuwe makini kuna bonge la mvua linakuja wajomba kama uko Mabondeni bora uhame au uende mkoani kaa muda LEO hii tahadhari imektoka tena kutoka EAST AFRICAN HAZARDOUS WATCH Wazee sio poa..Moja kwa moja..
Katika kipindi cha miaka 7 Dar sijawahi kushuhudia mvua kama iliyopiga siku mbili hizi haswa ya leo ndio bab kubwa sehemu nyingi maji yamejaa sana.
Tukirudi nyuma wakati tahadhari zinatolewa na TMA wabongo wengi mitandaoni na mitaani walikuwa wanabeza sana na wengine kuleta dhihaka, sasa kwa hali inayondelea bado wale waliokuwa wanabeza na kudharau wanashikilia misimamo yao ?View attachment 2801355
View attachment 2801356
View attachment 2801357
Wabongo tupende kuamini vya kwetu..
#UziTayari
Kwangu tofauti ,tokea mvua zianze kunyesha mtaa ninapoishi hapajakatwa umeme hovyo kama kipindi cha nyuma hadi nimeshangaaHiyo mvua imekuja na neema huku mikoani. Imesababisha Dar wakate umeme na huku watuwashie. Leo ilikuwa siku ya kukatiwa umeme nashangaa tumewashiwa. Ila ujinga unaweza kuta kenge hawa wakatukatia kesho ili kufidia.
mkiambiwa msevu hela kwa dharula kama hii ili msilale njaa hamsikii na badala yake mnakula hovyo bata na zikiisha mnaanza kutusumbua kwa milawana yenu hii isiyo na kichwa wala miguuHii mvua ni nouma , biashara za online haziend kabisa , mvua haikatiki sku ya pili mfululizo mpak sasa wingu zito , soon itabonda tena
Duh! kwa hiyo kuna uwezekano mkubwa wa kuja second version ya mvua tofauti na hii inayopiga siku hizi.Wazee tuwe makini kuna bonge la mvua linakuja wajomba kama uko Mabondeni bora uhame au uende mkoani kaa muda LEO hii tahadhari imektoka tena kutoka EAST AFRICAN HAZARDOUS WATCH Wazee sio poa..
Hii ni hali ya ANGA ILIVYOKUWA WIKI MBILI ZILIZOPITA MVUA KUBWA ILIKUWA SOMALIA,.. ETHIOPIA KIDOGO NA KENYA
View attachment 2801453
WAZEE CHUKUENI TAHADHALI LILE WINGU JEUSI LOTE LIMEANZA KUMOVE KUJA UPANDE WA KUSINI MAGHARIBI YAANI TANZANIA hii ni picha ya satelite leo kuweni makini sana View attachment 2801454
tunayo kwa miezi sita ijayo na leo ndiyo itaogezeka marudufu zaidi kwani tukionywa tuache dhambi hatusikii tuMvua imeanza kuanzia jana usiku mpaka saivi bado inanyesha tu
Mpaka tarehe 5Duh! kwa hiyo kunauwekano mkubwa wa kuja second version ya mvua tofauti na hii inayopiga siku hizi.
possibly chief na itakayokuja leo ni deadly kabisaDuh! kwa hiyo kunauwekano mkubwa wa kuja second version ya mvua tofauti na hii inayopiga siku hizi.