Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mmoja wao kaandika hivi👇Watu wa dar hamna shukrani hata kidogo,mvua mnalalama na jua mnalalama pia
Sawa mzee wa uto😂Itakuwa habari njema kwa Makolo ikitokea kupiga siku hiyo.
Wewe naye majanga tu,unadhani kila mtu anao uwezo wa kusave!? Kuna watu kula kwake lazima aende kibaruani,ni hand to mouth activities,nyie watu mliopitia kwenye familia za milo mitatu hamfai kuwa viongozi wa taifa hili,mnarahisisha sana maisha,mimi hapa na kazi yangu ya ualimu sina uwezo wa kusave chakula cha mwezi mzimamkiambiwa msevu hela kwa dharula kama hii ili msilale njaa hamsikii na badala yake mnakula hovyo bata na zikiisha mnaanza kutusumbua kwa milawana yenu hii isiyo na kichwa wala miguu
Ndyo mkuu hilo wingu likisoge tu kwetu tumekwishaDuh! kwa hiyo kuna uwezekano mkubwa wa kuja second version ya mvua tofauti na hii inayopiga siku hizi.
mbona una makasiriko?Wewe naye majanga tu,unadhani kila mtu anao uwezo wa kusave!? Kuna watu kula kwake lazima aende kibaruani,ni hand to mouth activities,nyie watu mliopitia kwenye familia za milo mitatu hamfai kuwa viongozi wa taifa hili,mnarahisisha sana maisha,mimi hapa na kazi yangu ya ualimu sina uwezo wa kusave chakula cha mwezi mzima
Moja kwa moja,
Katika kipindi cha miaka 7 Dar sijawahi kushuhudia mvua kama iliyopiga siku mbili hizi haswa ya leo ndio bab kubwa sehemu nyingi maji yamejaa sana.
Tukirudi nyuma wakati tahadhari zinatolewa na TMA wabongo wengi mitandaoni na mitaani walikuwa wanabeza sana na wengine kuleta dhihaka, sasa kwa hali inayondelea bado wale waliokuwa wanabeza na kudharau wanashikilia misimamo yao?
View attachment 2801355
View attachment 2801356
View attachment 2801357
Wabongo tupende kuamini vya kwetu..
acheni ulalalamishi
#UziTayari
Yaani sijui wanataka nini .watu wa dar ni kulalamika tuWatu wa dar hamna shukrani hata kidogo,mvua mnalalama na jua mnalalama pia
Mvua za msimu.hakuna mvua kubwa badoMoja kwa moja,
Katika kipindi cha miaka 7 Dar sijawahi kushuhudia mvua kama iliyopiga siku mbili hizi haswa ya leo ndio bab kubwa sehemu nyingi maji yamejaa sana.
Tukirudi nyuma wakati tahadhari zinatolewa na TMA wabongo wengi mitandaoni na mitaani walikuwa wanabeza sana na wengine kuleta dhihaka, sasa kwa hali inayondelea bado wale waliokuwa wanabeza na kudharau wanashikilia misimamo yao?
View attachment 2801355
View attachment 2801356
View attachment 2801357
Wabongo tupende kuamini vya kwetu..
#UziTayari
Leo ungekuwa gomc na ungekuwa umetoka kwenda mjini ungerud kesho maana mvua ni nying njia yote maji na ukijumlisha na ujenzi ni tabu tupu. Hope utapata taarifa kamili keshoLeo nipo Moshi, huku inapiga kistaarabu.
Next week nitakua tena hapo Gongolamboto kushuhudia utabiri wa TMA.
= TAHADHARItaadhali
Jamaa angu mbona kama unanifokeamkiambiwa msevu hela kwa dharula kama hii ili msilale njaa hamsikii na badala yake mnakula hovyo bata na zikiisha mnaanza kutusumbua kwa milawana yenu hii isiyo na kichwa wala miguu
Ndio tupo, nimeamini kweli mzarau/mzalau mwiba Guu/Mguu huota TENDE....Moja kwa moja,
Katika kipindi cha miaka 7 Dar sijawahi kushuhudia mvua kama iliyopiga siku mbili hizi haswa ya leo ndio bab kubwa sehemu nyingi maji yamejaa sana.
Tukirudi nyuma wakati tahadhari zinatolewa na TMA wabongo wengi mitandaoni na mitaani walikuwa wanabeza sana na wengine kuleta dhihaka, sasa kwa hali inayondelea bado wale waliokuwa wanabeza na kudharau wanashikilia misimamo yao?
View attachment 2801355
View attachment 2801356
View attachment 2801357
Wabongo tupende kuamini vya kwetu..
#UziTayari