Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Hamna mvua ya kutisha acheni ku-overrate vitu, nyie mpo dar ipi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiwaongopee watu aisee Uswahilini hakukaliki babu maji kwenye mapaaHamna mvua ya kutisha acheni ku-overrate vitu, nyie mpo dar ipi
Inawezekana hii ndiyo taasisi pekee ambayo haijaathiriwa vibaya na siasa japo huko mjengoni very soon watampongeza Mama kwa mvuaWatu hupenda kutoa lawama bila kufikiria hata ni kwa namna gani TMA inakusanya data zake.
Watu wanajua TMA ni kama taasisi inayohusika na mambo ya time travelling.
Zee la upako limeufya au linakuja na story mbofumbofuMoja kwa moja,
Katika kipindi cha miaka 7 Dar sijawahi kushuhudia mvua kama iliyopiga siku mbili hizi haswa ya leo ndio bab kubwa sehemu nyingi maji yamejaa sana.
Tukirudi nyuma wakati tahadhari zinatolewa na TMA wabongo wengi mitandaoni na mitaani walikuwa wanabeza sana na wengine kuleta dhihaka, sasa kwa hali inayondelea bado wale waliokuwa wanabeza na kudharau wanashikilia misimamo yao?
View attachment 2801355
View attachment 2801356
View attachment 2801357
Wabongo tupende kuamini vya kwetu..
#UziTayari
Au kununu mandege ambayo hayana positive impact yeyote kwenye uchumi badala yake ni tunasikia hasaraMaji yanaachwa hata hakuna mipango ya kuyatunza ili kusambaza kwa watumiaji hapo baadae watakuja kutoa Tangazo la ukame wa miezi miwili au kina cha maji kimepungua huko Mtera na kuweka ratiba ya kukata Umeme hao ndio Watanzania vitu muhimu hatuviwezi tupo busy na mambo sijui ya SGR ambayo sio ya leo wala kesho kukamilika...
Maji ni kwel yamejaaa nimetoka posta jangwani hapapitiki lkn ni kama miaka yote tu dar ikinyesha kidogo tu kupenya ni kipengeleUsiwaongopee watu aisee Uswahilini hakukaliki babu maji kwenye mapaa
Siamini hiki unachosema ikizingatiwa hali uliyopo sasa ,leo inakaribia siku ya tatu hakuna jua .Mtaa ninapoishi leo maji yametoka sehemu ambayo haijawi kushuhudiwa kwa miaka ya karibuni.
Duh,umenifanya nicheke kwa sautiInawezekana hii ndiyo taasisi pekee ambayo haijaathiriwa vibaya na siasa japo huko mjengoni very soon watampongeza Mama kwa mvua
Mkuu usishangae kabisa kwa aina ya wabunge walioko huko Dodoma hivi sasaDuh,umenifanya nicheke kwa sauti
😆😆😆 Noma Mzee nyumba zinavuja sio kawaida kabisaUsiwaongopee watu aisee Uswahilini hakukaliki babu maji kwenye mapaa
Mkeka umechanika, wazee wa kubet wamefeli pabaya Newcastle kampiga Mwamtesa United goli 3 kavu na Mamelodi kamchakaza Al Ahly,Walisema mvua kubwa itanyesha october mwanzoni sasa leo ni 2nd nov wapi na wapi, ni sawa mtu akutabirie kuwa ikifika saa 1 kutakuwa na giza wakati ni hali ya kawaida. Msimu huu ni wa vuli kuanzia october sasa katikati inaponyesha mvua usianze kututabiria kama mganga pazi.