Mvua inayoendea Dar ni hatari sana, wale waliokuwa wanawabeza TMA wapo?

Mvua inayoendea Dar ni hatari sana, wale waliokuwa wanawabeza TMA wapo?

Maji yanaachwa hata hakuna mipango ya kuyatunza ili kusambaza kwa watumiaji hapo baadae watakuja kutoa Tangazo la ukame wa miezi miwili au kina cha maji kimepungua huko Mtera na kuweka ratiba ya kukata Umeme hao ndio Watanzania vitu muhimu hatuviwezi tupo busy na mambo sijui ya SGR ambayo sio ya leo wala kesho kukamilika...
 
Moja kwa moja,

Katika kipindi cha miaka 7 Dar sijawahi kushuhudia mvua kama iliyopiga siku mbili hizi haswa ya leo ndio bab kubwa sehemu nyingi maji yamejaa sana.

Tukirudi nyuma wakati tahadhari zinatolewa na TMA wabongo wengi mitandaoni na mitaani walikuwa wanabeza sana na wengine kuleta dhihaka, sasa kwa hali inayondelea bado wale waliokuwa wanabeza na kudharau wanashikilia misimamo yao?

View attachment 2801355

View attachment 2801356

View attachment 2801357

Wabongo tupende kuamini vya kwetu..

#UziTayari
Zee la upako limeufya au linakuja na story mbofumbofu
 
Maji yanaachwa hata hakuna mipango ya kuyatunza ili kusambaza kwa watumiaji hapo baadae watakuja kutoa Tangazo la ukame wa miezi miwili au kina cha maji kimepungua huko Mtera na kuweka ratiba ya kukata Umeme hao ndio Watanzania vitu muhimu hatuviwezi tupo busy na mambo sijui ya SGR ambayo sio ya leo wala kesho kukamilika...
Au kununu mandege ambayo hayana positive impact yeyote kwenye uchumi badala yake ni tunasikia hasara
 
Walisema mvua kubwa itanyesha october mwanzoni sasa leo ni 2nd nov wapi na wapi, ni sawa mtu akutabirie kuwa ikifika saa 1 kutakuwa na giza wakati ni hali ya kawaida. Msimu huu ni wa vuli kuanzia october sasa katikati inaponyesha mvua usianze kututabiria kama mganga pazi.
 
Wabongo tupende kuamini vya kwetu..

#UziTayari
Unamsema na huyu au?
Screenshot_20231102-192428.png
 
Walisema mvua kubwa itanyesha october mwanzoni sasa leo ni 2nd nov wapi na wapi, ni sawa mtu akutabirie kuwa ikifika saa 1 kutakuwa na giza wakati ni hali ya kawaida. Msimu huu ni wa vuli kuanzia october sasa katikati inaponyesha mvua usianze kututabiria kama mganga pazi.
Mkeka umechanika, wazee wa kubet wamefeli pabaya Newcastle kampiga Mwamtesa United goli 3 kavu na Mamelodi kamchakaza Al Ahly,
 
Back
Top Bottom