Mvua inayoendea Dar ni hatari sana, wale waliokuwa wanawabeza TMA wapo?

mkiambiwa msevu hela kwa dharula kama hii ili msilale njaa hamsikii na badala yake mnakula hovyo bata na zikiisha mnaanza kutusumbua kwa milawana yenu hii isiyo na kichwa wala miguu
Wewe naye majanga tu,unadhani kila mtu anao uwezo wa kusave!? Kuna watu kula kwake lazima aende kibaruani,ni hand to mouth activities,nyie watu mliopitia kwenye familia za milo mitatu hamfai kuwa viongozi wa taifa hili,mnarahisisha sana maisha,mimi hapa na kazi yangu ya ualimu sina uwezo wa kusave chakula cha mwezi mzima
 
mbona una makasiriko?
 

Watu wa dar hamna shukrani hata kidogo,mvua mnalalama na jua mnalalama pia
Yaani sijui wanataka nini .watu wa dar ni kulalamika tu
 
Mvua za msimu.hakuna mvua kubwa bado
 
Ndio tupo, nimeamini kweli mzarau/mzalau mwiba Guu/Mguu huota TENDE....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…